Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, May 31, 2013

CCM NA MBINU ZA KUHUJUMU UBUNGE WA LISSU

Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, amekaliwa “kooni’ tena, kufuatia hatua ya

VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 1 JUNE 2013


SHEREHE ZINAZOFANYWA NA MADADA VYUO VIKUU ZA JINSIA MOJA.

Kutokana na kile kinachoendelea duniani ni pamoja na wimbi la kuongezeka mapenzi ya jinsia.Huko nchini

SIKILIZA WABUNGE WA CUF NA CHADEMA WAKIOMBANA RADHI LEO BUNGENI


KUTOKANA NA FUJO ZILIZOTOKEA JANA LEO HII WABUNGE WAOMBANA RADHI WOTE WA CUF NA CHADEMA.ZISIKILIZE SAUTI ZAO HAPO CHINI.
I'm listening to taarifa ya habari ya tbc=== @Hulkshare:

WANAFUNZI MZUMBE WAFUKUZWA WAPEWA SIKU MBILI WAONDOKE:

Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika

VIDEO:SAMAHANI LAKINI:HEBU CHEKI UCHAFU UNAOFANYIKA BIG BROTHER.

NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA SITA.

Serikali kwa mda mfupi uliopita imetangaza matokeo ya kidato cha sita,ambapo asilimia kubwa ya waliofanya mtihani wamefaulu kupata matokeo hayo tembelea www.necta.go.tz

Thursday, May 30, 2013

K'LYNE APASUA MBARIKA UHUSIAANO WAKE NA REGINALD MENGI.

Kumekuwepo na fununu nyingi juu ya ni nani hasa baba wa watoto mapacha wa

ZERO 30,000 ZAFUTWA NA BARAZA LA MITIHANI.

Wanafunzi 30,063 waliopata daraja sifuri katika matokeo yaliyopita, wameula baada ya

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO IJUMAA 31 MEI.


MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MAPYA YATOKA:

Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa matokeo ya kidato cha NNE yametoka kupata matokeo tembelea http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/olevel.htm

TAARIFA YA KUTEKWA KWA MWANDISHI ABSALOM KIBANDA NDIO HII.



  1. TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL - TANGA MEI 30, 2013

  1. UTANGULIZI:Usiku wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, ambaye pia

VIDEO FULL INTERVIEW P-Funk AKIZUNGUMZIA KIFO CHA MANGWEA NA KUWACHANA CLOUDS

HII NDIO KAULI ILIYOLETA ZOGO LEO MBUNGENI KUTOKA HOTUBA YA UPINZANI:

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa chama cha CUF, kutokana na itikadi zake za mrengo wa Kiliberali ambazo miongoni mwa misingi yake mikuu ni pamoja na

SERIKALI YAKILI KUWEPO KWA WATU WANAOTUMIA TEKNOHAMA KWA UCHOCHEZI.

Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu imekiri uwepo wa watu ama vikundi vya watu vinavyotumia fursa ya maendeleo ya teknohama kusambaza ujumbe ambao

BREAKING NEWS:BUNGE LASITISHWA KISA HOTUBA YA MH;WENJE.

Katika hali isiyo ya kawaida leo hii mapema Bungeni Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani imesitishwa baada ya hotuba hiyo kuwataja chama cha CUF kwamba

TAHADHARI UGONJWA WA NIMONIA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII


TAARIFA KWA UMMA.

TAHADHARI YA UGONJWA WA NIMONIA INAYOTOKANA NA CORONA VIRUS

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) mnamo tarehe 22 Mei 2013, kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Nimonia unaosababishwa na kirusi cha “Novel Coronavirus”.Taarifa hiyo inaeleza kuwa,tangu ugonjwa huo utokee mwishoni wa mwaka 2012 hadi tarehe 23 Mei 2013  idadi ya wagonjwa wapatao 44 na vifo 22 viliripotiwa

Shirika la Afya Duniani limethibitisha ugonjwa huu kuwepo katika nchi za

SIKILIZA NA KUDOWNLOAD OPEN_LETTER_PROD_MSWAKI.AKIRAP KA NGWEA.

Bofya hapa kupata hiyo nyimbo.

VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO:30 MEI 2013


Wednesday, May 29, 2013

KENYATA APINGA VIKALI ONGEZEKO LA MISHAHARA KWA WABUNGE.

Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa kauli kali kupinga hatua ya wabunge wa Kenya

VIDEO YA MUHADHIRI ALIYEFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI.

PICHA ZA MATUKIO KILICHOTOKEA LEADERS CLUB WASNII WAKIPOKUTANA.


Leo hii wasanii mbalimbali wamekutana katika viwanja vya Leaders club kupanga mambo mbalimbali juu ya msiba wa mwenzao Albert Mangwea Kupitia Umoja wa wao, Wasanii hao wameweza kuunda kamati ambayo inaongozwa na Mwenyekiti ambaye ni

VIDEO:HUYU NDIE ALIYESHUHUDIA KIFO CHA NGWEA.

M TO THE P HAJAFA ILA YUKO MAHUTUTI.

Kutoka kwa millard Ayo aliye huko Afrika Kusini ni kwamba Sio kweli kwamba msanii M2theP kafariki, ni mzima ila anapumulia mashine, kafungua macho na kunyanyua miguu dakika chache zilizopita.

UHAKIKA WA KILICHOMUUA NI KUJIOVERDOSE HEROIN NA CRACK. SOMA RIPOTI YA DAKTARI HAPA.

Kutokana na habari mbalimbali kwa vyombo mbalimbali kuhusu kifo cha msanii Albert Mangwea sasa mambo yamewekwa wazi na ripoti ya dactari na kusema kwamba

ALICHOKISEMA JANUARY MAKAMBA KUHUSU HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA NIPASHE.

Gazeti la leo la Nipashe, katika ukurasa wa mbele, lina picha yangu na kichwa cha habari kinachosema

VIDEO:MWANAUME AKAMATWA HUKO LIMURU KENYA AKIMLAWITI MBWA

Mubaah Katela: TAZAMA VIDEO YA UKWELI NI NOAH PV ft MAKAMUA & RAS...

Mubaah Katela: TAZAMA VIDEO YA UKWELI NI NOAH PV ft MAKAMUA & RAS...

BREAKING NEWS:M 2 THE P ALIYEKUWA NA NGWEA NAE AMEFARIKI DUNIA.

Taarifa kutoka kwenye vyanzo mbalimbali vya habari zinzsema kwamba msanii M TO THE P aliyekuwa

MANGWEA KUZIKWA MOROGORO ALIPOZIKWA BABA YAKE.

LADY JAYDEE, IZZO B,MWANA FA WAAHIRISHA SHOO ZAO KUMUENZI MANGWEA.

Baadhi ya wasanii wa bongo fleva nchini wameahirisha shoo zao kulingana na kile kinachotajwa na wao kwamba

SITAKI KUSIKIA NYIMBO YA NGWEA IKIPIGWA REDIONI.KAULI YA P.FUNK

Huu ni ujumbe uliotumwa na Producer maarufu  anaejulikana kama Producer Majani

Tuesday, May 28, 2013

TAZAMA VIDEO YA UKWELI NI NOAH PV ft MAKAMUA & RAS 6 - Njoo Nami

HIKI NDICHO KILICHOMUUA MANGWEA

Habari kutoka kwa mtu wa karibu na Mangwea anaejulikana kwa jina la Hamisi

BREAKING NEWS:MWANAMUZIKI WA KIZAZI KIPYA ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA:

  Rapper maarufu nchini a.k.a kaObama Albert Mangwea amefariki dunia leo hii Huko Afrika ya Kusini katika hospitali ya st Hellen.Sababu za kifo bado hazijajulikana kwa habari zaidi endelea kutembelea blog yetu.

BAADA YA TUHUMA ZA KUPOST PICHA ZA UCHI ZA JIDE MCHOMVU ASEMA YAFUATAYO.

Naomba kuchukua nafasi hii

ADAM MCHOMVU ASHAMBULIWA NA MASHABIKI BAADA YA KUPOST PICHA ZA UCHI ZA JIDE FACEBOOK.

Kwenye account ya Adam Mchomvu ameandika ivi

VIMWANA WA MISS REDD'S TANGA NDIO HAWA HAPA.

                              Warembo wa miss REDDS mkoa wa Tanga 2013 wakiwa katika picha ya pamoja
                                          kwenye mazoezi ya shindano hilo lnalotegemea kuanza juni 22.

PITIA VICHWA VYA HABARI MAGAZET YA LEO.JUMANNE 28


Monday, May 27, 2013

ICC WAAFRIKA WAIVALIA NJUGA KISA UBAGUZI.

Muungano wa Afrika umeituhumu mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kuwaandama wafrika kwa sababu ya

JIDE MPAKA JUNE 13: LWAKATARE NGOMA NZITO BADO

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo Jumatatu, Mei 27 kupata dhamana baada ya Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Kisutu, Sundi Fimbo kueleza kuwa Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Aloyce Katemana, bado yupo likizo tangu wiki tatu zilizopita.
  
Watuhumiwa wanakabiliwa na shitaka la kupanga njama za kumnywesha sumu Mhariri wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky

VIDEO: HIYO NDO MUZIKI GANINay wamitego ft Diamond - Muziki gani

VIDEO YA PROF. LIPUMBA AKIWA MSIKITINI ISIKILIZE UJUE ALICHOKIONGEA.ALAFU ACHA COMMENT

MJUE TAJIRI MKUBWA NAMBA MOJA AFRIKA ALIYEWEKEZA MTWARA:

The richest man in Africa is Aliko Dangote. He is also the world’s

AL SHABAAB WAVAMIA KENYA WATU 6 WAULIWA.

MHESHIMIWA PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA SARUJI MTWARA.

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda leo anaweka jiwe la msingi la kiwanda kikubwa kuliko

SIKILIZA WIMBO Wakuvwanga - Vatu



Sikiliza kwa kubofya wimbo wa Wakuvwanga - Vatu.

SHANGWE ZA BIG BROTHER JIJINI DAR

KINANA NA NAPE WATUA IRINGA TIYARI KWA ZIARA YA NJOMBE.

 Leo hii katibu mkuu wa CCM Abdulrahmani Kinana na  katibu wa NEC itikadi na uenazi Nape Nauye

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO.


Friday, May 24, 2013

MCHOCHEZI WA FUJO MTWARA ATIWA MBARONI.

VIDEO:ALICHOKISEMA ZITTO KUHUSU MTWARA

JE UNAJUA USHAURI ULIOTOLEWA HAPO MWANZO KUHUSU GESI YA MTWARA NA SERIKALI WAMEKOSEA WAPI?

Chukua mda wako wa dakika au masaa kadhaa kuweza kupitia document hiyo hapo ili ujue serikali ilishauliwa nini kuhusu gesi na mtaalamu wa masuala hayo.

WARIORUSHA BOMU ARUSHA WAACHIWA.

Kwa habari zilizopo ni kwamba jeshi la polisi Mkoani Arusha limewaachia watuhumiwa wanaosadikika kururusha bomu

WAASI M23 WATISHIA KUVAMIA MDA WOWOTE WANANCHI KAGERA WAAMBIWA KUWA MACHO.

Wananchi  Mkoa wa kagera kupitia serikali wamembiwa kuwa macho na mtu yeyeote wasiyemjua kutokana

HEBU CHEKI HIYO COMMEDY.

CHUKUA TIME KUCHEKI Nicki Minaj - High School (Explicit) ft. Lil Wayne

VICHWA VYA HABARI KATIKA MGAZETI.LEO IJUMAA 24


Thursday, May 23, 2013

UNASEMAJI KUHUSU PICHA HII WEWE KAMA MDAU WA NCHI HII YA TANZANIA


MTWARA BADO HALI MBAYA MWANAFUNZI APIGWA RISASI.MAMA AUAWA.

Katika hali isiyo ya kawaida mjini mtwara eneo la Magomeni duru za habari zinzharifu kuwa.

CHINUA ACHEBE KUZIKWA LEO NIGERIA.


Mwili wa mwandishi mashuhuri wa vitabu barani Afrika Chinua Achebe umewasili nyumbani kwake katika jimbo la Anambra nchini Nigeria.
Achebe atazikwa hivi leo Alhamisi.
Mwandishi huyo mashuhuri alifariki mjini Boston,Marekani, akiwa na umri wa miaka

BUNGE LAAHIRISHWA TENA.

Katika hali isiyo ya kawaida leo kwa mara ya pili Spika wa bunge ameahirisha tena bunge.Hii ni kwa sababu ya fuo zilizotokea

VIDEO.RAISI KIKWETE AKIKEMEA VURUGU HUKO MTWARA.

Wednesday, May 22, 2013