Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, August 30, 2013

RAISI KIKWETE AMATAKA MUSEVENI KUZUNGUMZA NA KAGAME ILI YAISHE:


RAIS Jakaya Kikwete, amewasiliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ili azungumze na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa nia ya

Monday, August 5, 2013

MTANZANIA ADAKWA NA MADAWA HUKO THAILAND.

SIKU chache baada ya serikali za Tanzania na Thailand kutiliana saini mkataba wa kubadilishana wafungwa na kutekeleza sheria ya vifungo, raia wa Tanzania amebambwa na dawa za kulevya nchini humo.
Mtanzania huyo aliyefahamika kwa jina moja la

HUU NDIO UKWELI KUHUSU SHOMARI KAPOMBE

Habari zenu wapenzi wa Soka Tanzania,

Nimejiunga hapa ili niweze kutoa majibu kwa maswali yoyote kuhusu suala la mchezaji Shomari Kapombe aliye chini ya mwongozo wangu. Nimeamua nifanye hivi baada ya

RIPOTI YA MAUAJI YA ARUSHA YAVUJA

HATIMAYE ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kuhusu vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na mauaji yaliyotokea Arusha Januari 5, 2011 kwenye maandamano ya CHADEMA imevuja.

Licha ya ripoti hiyo kufichwa kwa kutosomwa hadharani kwenye

JAMANI WASAIDIENI HAWA AKINA DADA WANAOUZA MIILI YAO


HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AUGUST 5 2013


SITTA ASEMA WABUNGE VITI MAALUMU HAWANA UMUHIMU WOWOTE.

Asema wengi hawachangii lolote bungeni na hawana yeyote wa kuwahoji kama ilivyo kwa wale wa majimbo.

*Aunga mkono Rasimu ya Katiba Mpya kufuta viti hivyo, asema ni mzigo mwingine kwa wananchi.
Dar es Salaam. 

Wiki moja baada ya kukaririwa akisema baadhi ya wabunge wa CCM ni mizigo na kwamba hawana mchango wowote bungeni na wala

MAKAHABA WAZID KUICHAFUA UDOM

Ongezeko  la  makahaba  mjini  Dodoma  limeendelea  kuwa  kero  kwa  chuo  kikuu  cha Dodoma  na  wanafunzi  wake  kwa  ujumla....

Kero  hiyo  imekuwa  ikisababishwa  na  baadhi  ya 

WANYARANDWA SASA KURUDI KWAO

Mamia ya wahamiaji haramu kutoka nchini Rwanda wakiwa na ng’ombe zaidi 900 wameanza kuondoka nchini kurejea kwao kutokana na agizo la Rais Jakaya Kikwete kuwataka waondoke Tanzania kabla ya siku