Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Monday, May 27, 2013

ICC WAAFRIKA WAIVALIA NJUGA KISA UBAGUZI.

Muungano wa Afrika umeituhumu mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kuwaandama wafrika kwa sababu ya

JIDE MPAKA JUNE 13: LWAKATARE NGOMA NZITO BADO

Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo Jumatatu, Mei 27 kupata dhamana baada ya Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Kisutu, Sundi Fimbo kueleza kuwa Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Aloyce Katemana, bado yupo likizo tangu wiki tatu zilizopita.
  
Watuhumiwa wanakabiliwa na shitaka la kupanga njama za kumnywesha sumu Mhariri wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky

VIDEO: HIYO NDO MUZIKI GANINay wamitego ft Diamond - Muziki gani

VIDEO YA PROF. LIPUMBA AKIWA MSIKITINI ISIKILIZE UJUE ALICHOKIONGEA.ALAFU ACHA COMMENT

MJUE TAJIRI MKUBWA NAMBA MOJA AFRIKA ALIYEWEKEZA MTWARA:

The richest man in Africa is Aliko Dangote. He is also the world’s

AL SHABAAB WAVAMIA KENYA WATU 6 WAULIWA.

MHESHIMIWA PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI KIWANDA CHA SARUJI MTWARA.

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda leo anaweka jiwe la msingi la kiwanda kikubwa kuliko

SIKILIZA WIMBO Wakuvwanga - Vatu



Sikiliza kwa kubofya wimbo wa Wakuvwanga - Vatu.

SHANGWE ZA BIG BROTHER JIJINI DAR

KINANA NA NAPE WATUA IRINGA TIYARI KWA ZIARA YA NJOMBE.

 Leo hii katibu mkuu wa CCM Abdulrahmani Kinana na  katibu wa NEC itikadi na uenazi Nape Nauye

PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO.