Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, June 12, 2013

POLISI KENYA MATATANI KWA MIHADARATI

Mamlaka ya Kitaifa ya kupambana na mihadarati nchini Kenya (NACADA), jamii ya Waislamu, na wakuu wa mashirika ya kijamii nchini humo wameituhumu polisi kuwa

KUTOKA BUKOBA MWANAMKE APOTEZA NYETI ZAKE:

Mwanamke huyu akiwa hajielewi kabisa kwa kile kilichomtokea baada ya kula uroda na mme wa mtu katika nyumba ya kulala wageni ya SUPER STAR iliyoko Hamgembe mjini Bukoba.Mwanamke huyo alitoweka na pesa za Mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma.Baada ya muda mama huyu

AUDIO.NYIMBO MPYA KUTOKA KWA LADY JAYDEE(YAHAYA)

Pata kusikiliza nyimbo mpya ya Mwanadada Lady Jaydee inayoitwa Yahaya.bofya link hiyo hapo chini.....
                                      I'm listening to Lady JayDEE - Yahaya @Hulkshare:

AFYA YA NELSON MANDELA YAIMARIKA.

Hali ya Afya ya aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, inaendelea kuimarika.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema kuwa amefahamishwa na madaktari wanaomtibu kuwa, hali ya Mzee Mandela

DOGO JANJA AKAMATWA NA KUWEKWA LOCKUP KISA BANGI.

Jana jioni msanii wa kizazi kipya abdul aziz Chende "Dogo janja" kukamatwa na bangi na Askari polisi na kufikishwa kituo cha polisi Ngarenaro hapa jijini ,katika kujitetea kituoni hapo alidai kuwa

CCM YAPINGA SERIKALI TATU KATIKA RASIMU YA KATIBA

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita. Chama hicho