Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Saturday, June 15, 2013

SABABU TANO JUU YA KWA NINI WANAWAKE HUPENDA KUWA NA MAHUSIANO NA WANAUME WALIO OA TIYARI.

Ni ukweli usiopingika kwamba wanawake wamekuwa katika uhusiano na wnaume amabao tiyari wameshaoa.Kila mtu yaweza kuwa nasababu zake juu ya kwa nini anaingia katika mahusiano ya namna hiyo.Ni ukweli usiopingika kwamba hapo chini ni sababu za kwa nini,Wanawake huingia katika mahusiano na wanaume amabao tiyari wameshaoa.

MAANDALIZI YA KIUSALAMA ZIARA YA OBAMA TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA

Washington- Rais Obama atapokwenda Afrika Kusini mwa Sahara mwezi huu, taasisi zenye jukumu la usalama wake hazifanyi lelemama.
Mamia wa mashushushu wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Marekani (US Secret Service) watasambazwa katika maeneo ya usalama huko

KUTOKANA NA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA JANA UCHAGUZI WA HAIRISHWA.

Kufuatia tukio la mlipuko jana Jumamosi jijini Arusha, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha chaguzi za madiwani katika kata zote nne (4) za TEMI,KIMANDORU,ELERAI na KALORENI jijini Arusha hadi Jumapili ya tar 30/6/2013.
Sheria inawapa mamlaka NEC kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa

PICHA ZA MATUKIO MLIPUKO WA BOMU ARUSHA LEO HII:SAMHANI KWA PICHA HIZI.

 Watu wawili wanahofiwa kupoteza maisha na wengine

MREMA ATANGAZA KUMUUNGA MKONO LOWASSA 2015

Mwenyekiti wa TLP Agustino Lyatonga Mrema amesema kwamba hana mpango wa kugombea Urais 2015 kwani hana

MAGAZETI YA LEO JUNI 15 2013




SHOO YA MWANA FA YADODA WATU KIDUCHU.

 Wahudhuriaji wa "The Finest" Kama Zamani wakiwa wanaenjoy burudani classic kutoka kwa Mwana FA.