Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Sunday, June 30, 2013

EMMANUEL OKWII SASA KUUZWA ULAYA

Dar es Salaam. Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inatarajia kumpiga bei mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kabla hata haijamaliza malipo ya deni la kumnunua mchezaji huyo raia wa Uganda kutoka Simba ya Dar es Salaam.
Okwi, aliyenunuliwa na Simba kutoka Sports Club Villa ya Uganda mwaka 2010 kwa ada ya uhamisho ya Dola 40,000, anatarajiwa kuuzwa klabu ya

BAADA YA OBAMA SASA NI GEORGE BUSH KUTUA NCHINI KESHO.


RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa marais katika kuinua wanawake duniani.

Kuwasili kwa Bush, ni mwendelezo wa wiki hii Jiji la Dar es Salaam kuwa katika pilikapilika za

ZITTO KABWE ATOA YA MOYONI KUHUSU UJIO WA RAISI OBAMA TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA

Hatimaye Barack Obama, Rais wa Marekani anatembelea tena bara la Afrika. Hii itakuwa ni mara ya pili Obama kutembelea Bara hili alikotoka baba yake baada ya ziara yake ya kwanza mwaka 2009. Mwaka huo alitembelea Ghana na Misri ilhali mwaka huu anatembelea Senegali, Afrika Kusini na Tanzania. Ziara hiyo itakayoanza tarehe 26 mwezi Juni, itamfikisha Tanzania tarehe 1 Julai na kuondoka siku ya pili yake.
Uchaguzi wa Obama kuwa Rais wa Marekani ulipokolewa kwa shangwe Afrika nzima. Wakati Waziri wa mambo ya nje wa Nigeria alilia kwa furaha, nchi ya Kenya ilitangaza siku ya mapumziko na Rais wa zamani wa Afrika Kusini ndugu Nelson ‘Madiba’ Mandela alisema ‘ushindi wa Obama unawafanya Waafrika wathubutu kuota ndoto (Jarida la The Economist). Hapa Tanzania kulikuwa kuna

SASA NI LIVE BILA CHENGA RIHANNA AANIKA NYETI YAKE RASMI ILI MUIONE.

Sasa imekuwa ni too much Rihhanna amekuwa ni mtu wa kujiachia sna katika maisha yake hasa pale anapoamua kuonesha maungo yake ya mwili kwa watu.Sasa Rihanna wakati akiwa Beach ameamua kuonesha maungo yake moja kwa moja mazeeeee.wewe chezea weweeeeee

Nadhani we mwenyewe unajionea sijui ni makusudi au alikuwa akifanya yake na mapparazi wakawa wamemnasa nini.

KAULI YA LOWASSA KUHUSU HJIO WA OBAMA:ASIZUNGUMZIE KUHUSU MASHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA AKIWA TANZANIA

Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.
 

Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ameliambia NIPASHE Jumapili ofisini kwake jijini hapa jana kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.

Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa

BAADA OBAMA AKUTANA NA RAIS ZUMA ASEMA YAFUTAYO;


Rais wa Marekani Barack Obama, amesema uvumilivu na ujasiri wa Nelson Mandela ni mfano mwema kwa

SIMULIZI YA KUSISIMUA NI MSICHANA ALIYEFANYA NGONO NA WANAUME KIBAO MME WAKE BILA KUTAMBUA SASA ANAHITAJI MSAADA.

          Najua simulizi yangu itawaudhi wengi ila itakubali ushauri wako utakaonipa na nitashukuru.Nilikutana na mme wangu nimpendae mwaka 2010 na kutambulishwa kwake na wazazi ambao walitulazimisha kuoana kulingana na Mila na Desturi za kikabila letu.
            Mtu wa kwanza niliyeanza kuwa na uhusiano naye ni

MWANAMZIKI AANIKA NYETI ZAKE GAZETINI


Mwanamziki WAJE kutoka Nigeria anayesifika kwa kutupia nguo nzuri.Kipindi hiki ameonekana kuachia zaidi na kuonesha nyeti zake.Hebu cheki  picha yake chini uone kama

SERIKALI YASHUSHA USHURU WA MAFUTA NA KODI YA SIMU YAFUTWA:


MFUMO mpya wa Bunge kuanza na bajeti za kisekta na kumalizia na Bajeti ya Serikali pamoja na uundwaji wa Kamati ya Bajeti, umeonesha makali yake kiasi na kuilazimisha Serikali, kushusha kodi ya

WAPOTEZA MAISHA WAKATI WAKIFANYA MAPENZI:WAPI? SOMA HAPA


Wapenzi wameanguka na kufa baada ya dirisha walipokuwa wakifanyia mapenzi kufunguka ghafla nchini