Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, June 18, 2013

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO.JUNI 19 2013


NAPE, GODBLESS LEMA, NA MBOWE WATAKIWA KUPELEKA USHAHIDI POLISI


Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao kudai kufahamu watu waliohusika na tukio la kurushwa bomu mwishoni mwa wiki iliyopita. 


Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana, Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja aliwataka wanasiasa hao

VURUGU ZA ARUSHA LEMA AJIFICHA KWA MCHOMA NYAMA:WAANDISHI WACHEZEA KICHAPO

Wabunge wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye Uwanja wa Soweto jana.

Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jana

VIDEO:POLISI WALIVYOTIMUA WAFUASI WA CHADEMA HUKO ARUSHA.

PICHA ZAIDI ZA MATUKIO YA MABOMU HUKO ARAUSHA:


MABOMU YALINDIMA HUKO ARUSHA;SABABU ZIKO HAPA

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za

HAYA NDIO MAPENDEKEZO YA BAJETI YA KAMBI YA UPINZANI 2013/2014

MAPENDEKEZO YA BAJETI 2013/14 YA KAMBI YAUPINZANI
i. Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332.
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inapendekeza kiwango cha chini cha kutoza kodi ya mapato ya ajira kwa mfanyakazi (PAY AS YOU EARN) kishuke kutoka asilimia

TAMKO LA CHADEMA UK KUHUSU MLIPUKO WA ARUSHA.

TAMKO RASMI CHADEMA UK
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika

VIDEO:MAHOJIANO YA MTANZANIA ALIYEKAMATWA NA MADAWA HUKO MISRI

HALIMA MDEE NA IDD AZZANI WAFANYA MAZOEZI TIYARI KWA MPAMBANO:

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Idd Azan ambaye ni Mbunge wa Kinondoni, wameanza kujichua kwa ajili ya mapambano yao ya ndondi katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Julai 7 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Halima Mdee atazipiga na