Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, July 3, 2013

RIHANNA NA PICHA ZA UCHI SASA NI VIDEO YAKE


Baada ya Mwanadada RIHANNA kuwa na tabia ya kuweka picha za uvhi mtandaoni sasa Mwanadada huyo ameamua kutoa video yake hebu icheki hapao chini kwa kubofya link hapo chini mdau wangu
http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=Y_zTy6icegU

WAPONA UKIMWI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI

Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi maishani mwao baada ya kufanyiwa upasuaji na kupandikiziwa uboho wan binadamu au (Bone marrow), hatua inayosemekana kuondoa virusi vya HIV mwilini mwao.
Mgonjwa mmoja amesemekana kukaa kwa miezi minne bila ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi bila ya dalili ya kurejea kwa uogonjwa huo.

Matokeo ya utafiti huo yaliwasilishwa katika mkutano wa kimataifa kuhusu maswala ya Ukimwi.Madaktai waliofanya utafiti huo katika hospitali ya matibabu kwa wanawake ya Brigham nchini Marekani, wanasema ni

MISRI KWA FUKUTA RAIS MORSI SASA YAWEZEKANA AKAPINDULIWA

Hali ya taharuki imetanda Misri huku makataa iliyotolewa na jeshi kwa rais wa nchi hiyo Mohammed Mosri ikikaribia kufika ukingoni.
Kuna taarifa za kutofautiana kuhusu ikiwa jeshi litatoa taarifa punde baada ya muda huo wa masaa 48 aliopewa rais Morsi kutafuta suluhu ya mgogoro huo kutimia.
Maafisa wakuu wa serikali wako kwenye mkutano wa dharura nchini Misri, saa chache kabla ya muda wa mwisho ambao jeshi na upinzani zilimpa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi

PICHA ZA MATUKIO KATIKA AJALI YA BUS LA SAIBABA MKOANI PWANI WAKATI LINATOKA DAR ES SALAAM KUELEKEA SONGEA


LULU AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA TANGU ATOKE JELA

Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu. 
Lulu aliye na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha

MSANII MAARUFU BONGO MOVIE ABAKWA

Kuna habari  mbaya  ambazo  zilianza  kusambaa  mtandaoni  jana.Habari  hizo  zinazomhusu  msanii  maarufu  wa  bongo  movie  ambaye  anadaiwa  kubakwa  (Mtungo ) na  wanaume  kadhaa.

Habari  hizo  zinadai  kuwa,

ALIYOYASEMA BARACK OBAMA AKIWA UBUNGO

President Barack Obama wa Marekani tayari amemaliza ziara yake ya siku mbili Tanzania ambapo sehemu ya mwisho kuitembelea ilikua Ubungo Dar es salaam ambako aliidhinisha mpango wa serikali yake wa dola