Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Sunday, May 19, 2013

DIAMOND NA NEY WAFUNIKA DAR LIVE

  Wasinii wawili Nchini Diamond na Ney wa Mitego wkiwa jukwaani Dar Live wakati wa uzinduzi wa wimbo wa muziki gani

INAKUHUSU.

PICHA ZA CCM WAKIWA DODOMA LEO.

 wajumbe wakiwa kwenye mkutano wanamsikiliza mwenyekiti wao wa chama Jakaya Mrisho Kikwete.
 Mh Mwiguru Nchemba akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai na Katibu wa NEC Oganaizesheni Dk. Muhammed Seif Khatib kwenye kikao hicho.

POLISI KENYA WAWAUA WASHUKIWA WAWILI.

Polisi mjini Nairobi, Kenya, wamewapiga risasi na kuwauwa watu wawili - mwanamume na mwanamke - baada ya watu hao kurusha maguruneti mane na kuwajeruhi askari kama watano.

MSIGWA MBARONI


Baada ya fujo zilizotokea mjini IRINGA sasa kwa habari ambazo bado hazijadhibitishwa rasni Mbunge huyo anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwaongoza wananchi kufanya fujo hizo.

MTANDAO WA KENYA WAMWAGA MBARIKA LIST YA ILLUMINATI NJE WATANZANIA WAMO.








PROF JAY AFUNGUKA.

Msanii Maarufu nchini PROF JAY amefunguka juu ya bifu linaondelea kati ya mwanadada lady jaydee na clouds FM.Msanii huyo ameyasema hayo katika FUNGUKA NA RISASI.

PICTURE OF THE DAY.

HII INAKUHUSU WEWE MFANYABIASHARA AMBAE UNAWEZA KUONYESHA BIDHAA ZAKO KWA NJIA HII.


VURUNGU ZATANDA MJINI IRINGA.

CHEKA NA MUBAAH.


SOMA HAPA ALICHOKIONGEA HALIMA MDEE KUHUSU USAGAJI.