Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Thursday, July 4, 2013

MDAU:HAPPY BIRTHDAY FARID FAROUK

                                TUNAKUTAKIA MAISHA MEMA NA YENYE BARAKA TELE.

MAGAZETI YA LEO JULY 4


PICHA:WAFUNGWA WANAVYOTESEKA GEREZANI

Hawa ni wafungwa huko nchini NIGERIA wakiwa Gerezani amabapo wamekuwa wakiishi kwa msongamano mkubwa sana huku wakilala kwa style ya aina yake.


BAADA YA RAIS MORSI KUPINDULIWA RAIS MPYA WA MPITO KUAPISHWA LEO

Jaji mkuu wa mahakama ya kikatiba nchini Misri Adli Mansour anatarajiwa kuapishwa kama rais wa mpito wa nchi hiyo baada ya jeshi kumng'oa madarakani rais Mohammed Morsi, ambaye ni kiongozi wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini humo.Mkuu wa jeshi Generali Abdul Fattah al-Sisi alitoa tangaza hilo kupitia televisheini Jumatano jioni, katika kile Morsi, alisema