Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Saturday, June 1, 2013

POROJO ZA SABABU YA KIFO CHA NGWEA ZAZIDI KUCHANGANYA SOMA HAPO CHINI.

KIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika. 
Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia ya simu moja kwa moja kutokea nchini humo, Mtanzania mmoja (jina tunalo) alisema muda huo yeye alikuwa nje ya Hospitali ya St. Helen Joseph ambako mwili wa marehemu ulikuwa umehifadhiwa kwenye Mochwari ya Hillbrow.
Mbongo huyo alisema alifanikiwa kuutazama mwili wa marehemu Ngwea ambapo ulionesha kuwa

NYIMBO NIJULISHE YA MSANII FARY D (UDOM) INAKUJIA HIVI KARIBUNI.

Msanii anayeitwa Fary D kutoka (UDOM) anatarajia kutoa nyimbo yake inayoenda kwa jina la Nijulishe.Msanii huyo anaekuja kwa kasi amewaambia mashabiki wake wakae mkao wa kula kuweza kupokea ujio wa msanii huyo anaekuja kwa kasi sana.

VIDEO:KITUO CHA TELEVISHENI CHAONESHA NGONO WAKATI WA TAARIFA YA HABARI


Katika hali isiyo ya kawaida kituo kimoja cha  televisheni nchini Ubeligiji kimejikuta kikishitakiwa.Kituo hicho kimejikuta kikishitakiwa baada ya kuonyesha video ya ngono nyuma ya msomaji wa habari.














HEBU TAZAMA HIYO VIDEO UPATE KUJIONEA NA KUONGEZA MAISHA.

PICHA:CHEKA NA MUBAAH KWA LEO.


ZANA ZA HIZBOLLAH ZAPATIKANA NIGERIA.

Karakana ya silaha inayoaminika kumilikiwa na kundi la Hezbollah, nchini Lebanon imapatikana Kaskazini mwa Nigeria.
Kwa mujibu wa taarifa za jeshi na shirika la ujasusi la Nigeria

FUNUNU RASIMU YA KATIBA YAWEZA KUTOKA JUMATATU

Kutokana na fununu mbalimbali siku ya Juma tatu tunaweza kupata Rasimu mpya ya Katiba. Katiba amabayo ndo inapaswa kukidhu kiu ya Watanzania.Hizi ni tweet za muheshimiwa Zitto