Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, July 2, 2013

MAGAZETI YA LEO JULY 3 2013


MAUAJI YA DAUDI MWANGOSI WATUHUMIWA WAACHIWA HURU



MAHAKAMA ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka  yaliyokuwa yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42.

Kiongozi huyo pamoja na wenzake walikuwa wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo la

MCHUNGAJI AFUNGWA MIAKA 30 JELA NA VIBOKO 12 KILA SIKU KWA KOSA LA UBAKAJI


FAMILIA YA MCHUNGAJI IKIONGEA NA MWANDISHI WA HABARI BAADA                    YA HUKUMU KUTOLEWA

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na viboko 12 baada ya kukutwa na makosa mawili ya Kubaka na kumpa mimba Mwanafunzi wa miaka 19.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu wa mahakama ya Wilaya ya Mbeya Ndugu Gilbert Ndeuruo amesema Mahakama imemtia hatiani kutokana na

PICHA;RAIS OBAMA ALIPOKUTANA NA BUSH KATIKA ARDHI YA TANZANIA.


GAZETI LA MAREKANI LAANIKA MAOVU YA TANZANIA

Tanzania imekosolewa na gazeti maarufu la Marekani wakati Rais Obama akipokewa kwa nderemo na vifijo.

Gazeti hilo maarufu nchini Marekani la The New York Times,limechapisha habari za kuonesha

TASWIRA KATIKA BARABARA ATAKAYOPITA BARRACK OBAMA JIJINI DAR ES SALAAM