Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Monday, May 20, 2013

HII NDIO RASIMU YA SERA YA GESI.

Kama hujaweza kuiona rasimu ya sera ya gesi chukua mda wako kwa kuisoma hapa chini

POLISI WAVAMIA KITUO CHA MAGAZETI UGANDA.

 Polisi nchini Ugandan wamevamia ofisi za magazeti kufuatia taarifa kwamba Rais Yeweri Museveni anamuandaa mwanawe wa kiume kumrithi urais.

BREAKING NEWS; MHESHIMIWA MBOLINYI AZIMIWA KIPAZA SAUTI BUNGENI.

Katika hali isiyo ya kawaida mda huu mheshimiwa Mbilinyi akiwa anaanza kusoma hotuba yake kipaza sauti kilizimwa na hiyo ni

BABA YAKE GARRY NEVILLE MATATANI.

 Baba yake mwanasoka  Garry Neville anashutumiwa kwa kosa la unyanyasji wa kijinsia.

PICHA; MHESHIMIWA ZITTO AKIONGEA KATIKA TAWI LILIROFUNGULWA JUMAMOSI.


PICTURE OF THE DAY.


WAFANYAKAZI RED CROSS WAACHIWA BAADA YA KUTEKWA NYARA.

Watekaji nyara Kusini mwa Yemen, wamewaachilia wafanyakazi watatu wa shirika la Msalaba mwekundu pamoja na mkalimani wao mwenye uraia wa Yemen.

MAANDAMANO YAZIMWA TUNISI.

Polisi katika mji mkuu wa Tunisia, Tunis, wametumia moshi wa kutoza machozi dhidi ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe.

DRC KWAWAKA MOTO

Waasi wa kundi la M23 Kaskazini mwa Goma, Mashariki mwa DRC wamekuwa wakipigana na majeshi ya serikali usiku wa kuamkia leo (jumatatu). Mapigano hayo yametokea katika eneo ambalo waasi wameteka tangu Novemba mwaka jana.

MSIGWA ALIVYOWASILI MAHAKAMANI LEO.

 Wananchi wakiwa nje ya MAHAKAMA walpozuiliwa kutoingia ndani ya Mahakama kipindi Mbunge wao alipo wasili mahakamani hapo.

MAZISHI KUHUSU CHINUA ACHEBE.

Mazishi ya mwandishi maarufu wa riwaya wa Nigeria, Chinua Achebe, yameanza katika mji wa Ogidi, kusini-mashariki mwa nchi ambako ndiko alikotoka.

MANENO YA RAIS KAGAME KUHUSU VIKOSI VYA UN DRC

Rais wa Rwanda Paul Kagame alitoa mtazamo mkali wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa mataifa ulioko katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

PICTURE OF THE DAY.


MAJAMBAZI WATIWA MBARONI NA KUUAWA.

Watu wawili kati ya watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi jijini Mwanza baada ya kuvamia duka linalouza bia za jumla iliyopo eneo la Igoma na kwa nia ya kutaka kupora fedha za mauzo