Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Monday, May 20, 2013

MAJAMBAZI WATIWA MBARONI NA KUUAWA.

Watu wawili kati ya watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na polisi jijini Mwanza baada ya kuvamia duka linalouza bia za jumla iliyopo eneo la Igoma na kwa nia ya kutaka kupora fedha za mauzo

No comments:

Post a Comment