Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, June 11, 2013

MAONI YA CCM KATIKA RASIMU YA KATIBA.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye  akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari juu ya rasimu ya kwanza ya mchakato wa katiba mpya.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe 10/06/2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 12 2013


VIDEO:KAMATI KUU YA CCM IMEKUTANA LEO MJINI DODOMA

KAMATI YA MARIDHIANO YA ZANZIBAR YASHTUSHWA NA DK.SHEIN.

Hali visiwani Zanzibar inaonekana si shwari kwenye serikali yenye muundo wa umoja wa kitaifa, baada ya Rais Ali Mohamed Shein kusema

ALIYEFICHUA SIRI ZA (CIA) MASHAKANI SOMA STORY NZIMA HAPA:

Mwanamume aliyefichua habari za ujasusi za Marekani, akiwa Hong Kong, sasa ametoweka hotelini mwake. Edward Snowden aliambia waandishi wa habari kuwa

LWAKATARE APEWA DHAMANA.


Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura, lhivi punde wamepata dhamana na endapo