Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, June 12, 2013

DOGO JANJA AKAMATWA NA KUWEKWA LOCKUP KISA BANGI.

Jana jioni msanii wa kizazi kipya abdul aziz Chende "Dogo janja" kukamatwa na bangi na Askari polisi na kufikishwa kituo cha polisi Ngarenaro hapa jijini ,katika kujitetea kituoni hapo alidai kuwa
alikuja kushow love na rafiki zake wa hapaTown baada ya kunyakua tuzo kili music award weekend iliyopita, nje ya tukio tulikutana na Msanii BAM wa jambo squad wanaotamba na ngoma zao kibao zilizowafanya kunyakuwa tuzo ya kili music award na kusema kuwa,baada ya dogo janja kusafiria nyota yao kwa muda mrefu sasa hayo ni sehem tu ya makofi ya Mwenyezimungu na atarajie kukutana na balaa mtindo mmoja endapo tu atashindwa kuwa na heshima kwa wakubwa zake na waliomjenga kisanii mpaka hapo alipofikia kabla hajaiba idea na mashairi ya jambo squard ambapo  dogo alishine na kutoka kimtindo.

tunampa pole dogo janja na kumpa ushauri kuwa ikiwa ana njozi za kuwa msanii mkubwa nchini na kimataifa ajijenge kitabia na kuepuka makundi yanayoweza kumpoteza na kumuingiza katika matumizi ya madawa ya kulevya.

No comments:

Post a Comment