Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Saturday, May 18, 2013

ANACONDA TEAM YAZIDI KUWA KUBWA.MASTAA WAONGEZEKA.



Ukiangalia katika picha hao ndio baadhi ya wasanii wanaomuunga mkono JIDE katika harakati za upingaji juu ya wanamziki kunyonywa katika kazi zao.
huyu mheshimiwa alijitoa kwa sababu amabazo alizitaja mwenyewe,sasa mashabiki wake inaonekana kumpinga vikali kwa huo uamuzi aliouchukua ikiwemo kupewa matusi na mashabiki wake.

No comments:

Post a Comment