Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, May 22, 2013

MSIBA:MWANAFUNZI UDOM AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA TRENI.

 Mwanafunzi anayeitwa Boid Mwakitalima amefariki dunia baada ya kugongwa na treni eneo la Dodoma station,mwanafunzi huyo alaikuwa akitembea kando kando ya reli huku
akiwa amevaa headphone zilisosababisha ashindwe  kusikia ama  kuhisi  chochote  juu  ya  muungurumo  wa  treni  hilo  mpaka  lilipomsogelea  karibu  na  kumsukuma  pembeni  ambapo  aliangukia  chuma  na  kuaga  dunia  pale  pale...
huyu ndie Marehemu Boid Mwakitalima
Mwili wa Marehemu umesafirishwa leo kueleke nyumbani kwa marehemu MBEYA.

No comments:

Post a Comment