Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, May 31, 2013

SHEREHE ZINAZOFANYWA NA MADADA VYUO VIKUU ZA JINSIA MOJA.

Kutokana na kile kinachoendelea duniani ni pamoja na wimbi la kuongezeka mapenzi ya jinsia.Huko nchini
NIGERIA wanafunzi wa vyuo vikuu wamekuwa wakikutana katika sherehe zao huku sahrti likiwa lazima sherehe iwe ya jinsia moja.Msimuliaji aliyeshangaa kitendo hicho baada ya kualikwa alishngaa kuona akina dada wakati wa kucheza mziki wakitomasana sehemu mbalimbali na kufanya kile kinachodaiwa kutiana hashki za kimapenzi.Aliweza kupata Picha chache hizi kisa CAMERA yake ilikuwa haina betri za kutosha.













No comments:

Post a Comment