Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, June 5, 2013

SOMA TAARIFA ZA MWNADADA ALIYEKAMATWA MISRI NA MADAWA NA KUHUKUMIWA KUNYONGWA.


guys mmoja wa wasomaji na rafiki wa facebook amemuinbox mdau mmoja amabae alitoa taarifa na kusema kwamba so lets wait and see hila ni kwamba ajafikishwa hata mahakamani

  • Mambo zay mzima plz huyo alokamatwa misri nindugu yang na taarifa tunazo natuna fatlia hizo habar za kunyongwa sizo zakweli watu wanazusha cz hata mahakaman hajapelekwa tumeongea na baloz wa oman na serikali ya oman ndo inafatilia so waambie na achen kuandika vitu visivyokuwa na ukweli nayule hakai znz naomba fikisha ujumbe habari za kunyongwa sizo za kwel
                                               Hii ndo siku alipokamatwa na unga
                                                  Mrembo Fatma katika pose
                                             

No comments:

Post a Comment