Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, June 19, 2013

UVAAJI WA NAMNA HII UNAASHIRIA NINI?

Katika swala lisilo la kawaida mambo kama haya yameendelea katika jamii.Jambo la kujiuliza ni kwamba je wakemeji wamekosa au sote tushakuwa wale wale tunapenda mambo kama haya


kwa mda wako waweza kuchukua fursa yako na kukemea mambo kama haya hasa we mwanajamii unayelinda maadili ya jamii hii ili yasiweze kupotea.Ni wewe pamoja na mimi twaweza kukomesha tabia hii,


No comments:

Post a Comment