Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Thursday, June 13, 2013

WANAFUNZI WAENDELEZA KUPIGA PICHA CHAFU HEBU CHEKI HAPA.


HII IMETOKEA HUKO MKOANI MTWARA WANAFUNZI WAKIWA KWENYA PARTY.Jamani wakati mwingine

 MMOJA BAADA YA KUZIDIWA NA POMBE MZUKA WA AJABU ULITOKEA KAMA ANAVYOONEKANA…
Ndani ya pub hiyo, madenti hao  walianza  kwa  staili  ya  kupiga  pombe  kabla  ya  michezo ya  kifusika  kuanza…
Pombe  ilipowakolea, madenti  hao  waligawana, kila  mtu  mtu  na  wake  na  kuanza  kubadilishana  mate  na  michezo  mingine  ya  michafu…
Hali  hiyo  ilizua taflani  kubwa  kwa  wananchi waliokuwa  eneo  hilo huku  wengine  wakionekana  kutoamini  macho  yao  kwa  vitendo  vilivyokuwa  vikitendwa  na  madenti  hao..


 

No comments:

Post a Comment