Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Thursday, July 18, 2013

WANAWAKE WALIOVALIA KAMA MASISTA WAKAMTWA NA MADAWA YA KULEVYA

Wanawake watatu wamekamatwa kwa madai ya kujaribu kusafirisha dawa za kulevya kupitia uwanja wa ndege wakiwa

UMRI WA KUOLEWA SASA KUONGEZWA.

Mtakwimu Mkuu wa serikali ya

SIKU 100 ZA SERIKALI YA RAIS KENYATA

Mgomo wa walimu, kuzorota kwa usalama na uhasama wa

MZEE NELSON MANDELA AFIKISHA MIAKA 95

Leo ni siku ya kimataifa ya shujaa wa kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Rais mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela pia anaadhimisha siku ya kuzaliwa leo akitimiza miaka 95 akiwa bado amelazwa hospitalini.
Serikali ya Afrika Kusini imewaomba wananchi wake

Wednesday, July 17, 2013

PICHA YETU YA LEO UNAZIKUMBUKA ENZI HIZI KAMA WEWE UMEZIPITIA HASA WALE TULIOSOMEA VIJIJINI.

Sote tumetoka katika staili ya namna hii.wale wote ambao mlisomea shule tofauti na hizi hamna cha kusimilia juu ya hii picha.AMA KWELI POLE POLE NDIO MWENDO.Bila maisha ya hivi hata ukiwa kiongozi hautawajua ni kina nani wenye shida.Ila ninachojua mtu wa hivi apate nafasi ya kuwa kiongozi atawatetea wamyonge na masikini kwa sababu anajua ubaya na uzuri wake. 

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 17 2013.


Tuesday, July 16, 2013

KESI YA MAUAJI YA PADRI MUSHI JAJI AJITOA.


Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi imechukua sura mpya, kufuatia Jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar, Mkusa Isaac Sepetu kujitoa baada ya

Thursday, July 11, 2013

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 11 2013


MDAU:HAPPY BIRTHDAY ROBERT WILSON (BABA DEVIS)

MDAU KWA LEO ANASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA,WAFUATAO WNAMTAKIA MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA,AMANI ABDALLAH,FARID FAROUK,RICHALD CHALI,BIGILWAMUNGU ELPIDIUS,MUBAAH KATELA(THE BLOGGER),Pia BILA kumsahau mchumba wake ampendae MSUMBA NYAGANGA(MAMA DEVIS)
HONGERA SANA KIJANA WAHESHIMI BABA NA MAMA NA UMPENDE SANA MCHUMBA WAKO NA MTOTO WAKO PIA.

Wednesday, July 10, 2013

MAJINA YA WATAKAOINGIA KIDATO CHA TANO HAYA HAPA


Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai. 


Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika. 


Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu wa shule wameelekezwa kufanya taratibu za kuazima walimu wa muda na kutoa taarifa kwa

Tuesday, July 9, 2013

MISRI HAKUKALIKI TENA.

Maafisa wa Afya Misri wamesema takriban watu 42 wameuawa kwa kupigwa risasi mjini Cairo nje ya kambi ya kijeshi ambapo wafuasi wa Rais aliyeondolewa madarakani Mohammed Morsi walikua

Monday, July 8, 2013

VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULY 9


HEBU CHEKI HIYO AJALI YA NDENGE MDAU WANGU

Ajali mbalimbali zimeendelea kutoka dunia hii ni Ajali ya ndege kutoka Asia kuelekea San Fransisco amabpo inasemekana katika Ajali hiyo vijana wawili wakichinma walipoteza maosha na Abiria 182 kujeluiwa Bfyya lnk hapo chini kucheki video hiyo.
http://online.wsj.com/article/SB10001424127887323823004578591422758092016.html?mod=world_newsreel#

WANAWAKE WAWILI KUTOKA TANZANIA WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO SOUTH AFRIKA TAZAMA VIDEO YAKE HAPA.









BAADA YA KESI YAKE KUAHILISHWA LWAKATARE ASEMA HAYA


KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK AMESEMA KWAMBA "Nimshukuru Mungu kwa siku njema ya leo na kwa ajili ya watanzania wote.
Leo ikiwa ni siku ya case yangu kusikilizwa Mahakama ya Mkazi Kisutu, nimereport pamoja na makamanda walionisindikiza. Case imehairishwa mpaka tarehe 22 July 2013.
Pamoja na hayo,mshitakiwa no.2 Ludovick Joseph ameshindwa kupata dhamana kwa sababu ya kutokukamilika kwa nyaraka za dhamana,hata hivyo dhamana yake iko wazi.
Tukiwa nje ya mahakama,kijana Ludovick ameonekana kuwa mnyonge na kulia sana akilalamika kutojishughulisha kwa ndugu zake(ambao hawakufika mahakamani) kufuatilia dhamana yake.
Nawatakia kazi njema na tusichoke kulitumikia taifa.
Peopleeeeeeeeeeees!"