Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Saturday, October 26, 2013

HABARI KUHUSU MBOWE KUMILIKI MAJUMBA ZACHUKUA SURA MPYA:

By Haki sawa View Post
Kutokana na mjadala ambao tayari umeshawekwa hapa na kujadiliwa kwa siku mbili mfululizo , nimeona kuwa kuna watu wanafanya propaganda badala ya kujaribu kuutafuta ukweli wa jambo lenyewe na kuangalia rationale ya jambo linalojadiliwa .
Mimi niliamua kufanya jambo moja la kujaribu kuangalia nini alichokua amedeclare Mbowe kwenye Tume ya maadili ya viongozi kwa mujibu wa Sheria ya maadili ya viongozi wa umma , nimekuwa mambo yafuatayo na kama yupo ambaye anaweza kunichallenge na aje a seem hapa na sio kuhangaika na Gutter politics ,

Mbowe Freeman , kwenye fomu zake alideclare kuwa anamiliki nyumba kwenye nchi

JK: CCM INAWEZA KUNG'OKA 2015

Dodoma. Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete amesema kama rushwa haitakomeshwa ndani ya chama hicho, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2015 kitaanguka vibaya na iwapo kitanusurika hakitapita kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.Katika hatua nyingine, Rais Kikwete

ICC,"RUTO SHARTI ASHIRIKI KESI YOTE"

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeamua sharti Naibu Rais wa Kenya William Ruto avihudhurie vikao vyote wakati wa kesi yake ambapo ameshtakiwa kutekeleza uhalifu wa kivita. Viongozi wa mashtaka walipinga uwamuzi wa awali ambapo Bw Ruto angekubaliwa kushiriki vikao vichache tu huku akitumia muda wake mwingi nchini Kenya.
Hata hivyo mahakama imesema licha ya uwamuzi huo

Monday, October 14, 2013

KATIKA HILI NANI WA KULAUMIWA?

                   Nawasalimia waungwana wote.Leo ndio siku alipofariiki muasisi wa taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Tanzania inasemekana ni nchi inayoendelea.Ukweli wa hili wnaujua wale wanaokaa katika nchi yeneyewe.kiujumla nchi inayoendele hadi watu wake watakuwa wanaendelea pia.Tunatatarajia kuona mabadiriko kulingana na maliasili tuliyonayo na si chini ya hapo basi kama tuna maliasili chache na mababdiriko yatakuwa ya ile malisaili chache.Baba katika familia anaendele kulingana na kazi na mtaji anaoutumia katika kufanya maendeleo yake.Ikiwa baba ana kazi nzuri na hata nyumba hana basi familia itajua huyu baba wa hapa atakuwa ni mfujaji wa kipato cha familia.Hivo basi wataamini kwamba anaelekeza pesa katika sehemu kusiko takiwa.Hivo basi Nchi hii imekuwa ni kama familia iliyotelekezwa na baba na ikabaki na mama mwenye upendo ila hana uwezo wa kutunza hiyo familia.Na cha kusikitisha zaidi hata watoto ndani ya familia hawawezi kumsaidia mama akapata kipato na kuendeleza familia ile.Tanzania imekuwa ni nchi ya mtu mle mtu.
           Wananchi wa hali ya chini wamekuwa wakiisha kwa hali ya vita vya weneyewe kwa wenyewe kwa wenyewe na nafsi zao.Wanapigana vita na nafsi zao huku wakiwaza nini watakachokula leo huku wao wakiwa ndio watendaji wakuu na kulipa kodi ambazo zimeendelea kuwaneemesha wakubwa.
           Wananchi matatizo waliyonayo ni suala zima la umasikini ambao umewafanya wawe ni watu wakufikiria suala zima la kutafuta ela ya kula tu mchana na usiku na sikufanya shuguli nyingine.Hao hao wanofanya biashara ndogo ya kuwalisha watoto wao hao hao ndio wanaodaiwa kodi kwa kupigwa virungu na Mgambo huku kodi yao ikienda kuliwa na watu bila kuwasaidia hao walipa kodi anagalau kuwajengea vibanda wafanyie biashara yao bila kupigwa na jua.Hao hao ndio wanaojengewa visima vya maji na serikali kwa gharama ya kodi yao na hapo hapo kulipia maji walioyajenga wao na hutoka kwemye ardhi waliyotunukiwa na mola wao.Watanzania licha ya kudhurumiwa haki zao wamekuwa pia wakinyamazishwa wasidai haki zao zilizodhurumiwa.Ama kweli SIJUI NANI ALAUMIWE?
            Licha ya kuishi katika mazingira magumu ya namna hii.Wapo wale amabao tiyari w aalishafanya raia wa hali ya chini kama misukule.MISUKULE hulimishwa kila siku usiku kucha na msukule wakati huo msukule huambulia chakula aina ya UNGA bila hata kusongwa.Wakati wale wanomiliki misukule hufurahia kwa kucheza ngoma na kufurahia mavuno yaliyolimwa na misukule hao.Mwisho wa siku misukule hao hukatwa ulimi ili asiweze kuongea kipi kinachoendelea kati yake na yule aliyemfanya msukule.Hatimae huyo msukule atakufa na kuliwa nyama na mwenye msukule huyo.
Watanzania chonde

Sunday, October 13, 2013

MWANDISHI WA HABARI UFOO SARO WA ITV NA RADIO ONE APIGWA RISASI PAMOJA NA MAMA YAKE.

Taarifa za mwanzo za kusikitisha ambazo tumezipata hivi punde zinasema mtu mmoja anayedhaniwa kuwa mume au mchumba wa mwandishi wa habari wa ITV na Radio One Ufoo Saro amefanya mauaji ya kutisha na

Saturday, October 12, 2013

YAONE MAGARI ALIOYOTUMIA MWL JULIUS KAMBARAGE NYERERE.

Gervas Mwatebela, Dar es Salaam 
Wasomaji wetu leo tumeamua kuangazia suala dogo tu katika utalii wa ndani kwa kutazama baadhi ya  magari aliyotumia Baba wa Taifa na Rais wa kwanza wa Tanzania Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa harakati za Uhuru na baada ya Uhuru mpaka alipofariki Oktoba 14,1999. Maelezo ya makala haya ni kwa mujibu wa nyaraka zilizopo Makumbusho ya Taifa, Dar es Salaam hasa kuhusiana na magari na miaka ya magari yalipotumika. Fuatana nasi.
1.AUSTIN MORRIS A-40
Gari aina ya  Austin Morris A-40 lilitengenezwa nchini Uingereza kati ya mwaka 1940 – 1950. Ni gari la kwanza kutumiwa na

Sunday, September 1, 2013

JE UNAJUA MAANA YA BONGO LAND?HEBU SOMA HAPA.

Chama cha kibinfasi cha kisiasa cha MEP nchini Uingereza kimeshutumiwa kwa kutumia neno.......'Bongo Bongo Land'
Lakini kwa baadhi ya watu nchini Tanzania, neno hilo lina maana isiyo na ubaya wowote.
'Bongo Bongo land' ni neno ambalo hutumiwa miongoni mwa

Friday, August 30, 2013

RAISI KIKWETE AMATAKA MUSEVENI KUZUNGUMZA NA KAGAME ILI YAISHE:


RAIS Jakaya Kikwete, amewasiliana na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ili azungumze na Rais wa Rwanda, Paul Kagame kwa nia ya

Monday, August 5, 2013

MTANZANIA ADAKWA NA MADAWA HUKO THAILAND.

SIKU chache baada ya serikali za Tanzania na Thailand kutiliana saini mkataba wa kubadilishana wafungwa na kutekeleza sheria ya vifungo, raia wa Tanzania amebambwa na dawa za kulevya nchini humo.
Mtanzania huyo aliyefahamika kwa jina moja la

HUU NDIO UKWELI KUHUSU SHOMARI KAPOMBE

Habari zenu wapenzi wa Soka Tanzania,

Nimejiunga hapa ili niweze kutoa majibu kwa maswali yoyote kuhusu suala la mchezaji Shomari Kapombe aliye chini ya mwongozo wangu. Nimeamua nifanye hivi baada ya

RIPOTI YA MAUAJI YA ARUSHA YAVUJA

HATIMAYE ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kuhusu vitendo vya uvunjaji wa haki za binadamu na mauaji yaliyotokea Arusha Januari 5, 2011 kwenye maandamano ya CHADEMA imevuja.

Licha ya ripoti hiyo kufichwa kwa kutosomwa hadharani kwenye

JAMANI WASAIDIENI HAWA AKINA DADA WANAOUZA MIILI YAO


HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO AUGUST 5 2013


SITTA ASEMA WABUNGE VITI MAALUMU HAWANA UMUHIMU WOWOTE.

Asema wengi hawachangii lolote bungeni na hawana yeyote wa kuwahoji kama ilivyo kwa wale wa majimbo.

*Aunga mkono Rasimu ya Katiba Mpya kufuta viti hivyo, asema ni mzigo mwingine kwa wananchi.
Dar es Salaam. 

Wiki moja baada ya kukaririwa akisema baadhi ya wabunge wa CCM ni mizigo na kwamba hawana mchango wowote bungeni na wala

MAKAHABA WAZID KUICHAFUA UDOM

Ongezeko  la  makahaba  mjini  Dodoma  limeendelea  kuwa  kero  kwa  chuo  kikuu  cha Dodoma  na  wanafunzi  wake  kwa  ujumla....

Kero  hiyo  imekuwa  ikisababishwa  na  baadhi  ya 

WANYARANDWA SASA KURUDI KWAO

Mamia ya wahamiaji haramu kutoka nchini Rwanda wakiwa na ng’ombe zaidi 900 wameanza kuondoka nchini kurejea kwao kutokana na agizo la Rais Jakaya Kikwete kuwataka waondoke Tanzania kabla ya siku

Thursday, July 18, 2013

WANAWAKE WALIOVALIA KAMA MASISTA WAKAMTWA NA MADAWA YA KULEVYA

Wanawake watatu wamekamatwa kwa madai ya kujaribu kusafirisha dawa za kulevya kupitia uwanja wa ndege wakiwa

UMRI WA KUOLEWA SASA KUONGEZWA.

Mtakwimu Mkuu wa serikali ya

SIKU 100 ZA SERIKALI YA RAIS KENYATA

Mgomo wa walimu, kuzorota kwa usalama na uhasama wa

MZEE NELSON MANDELA AFIKISHA MIAKA 95

Leo ni siku ya kimataifa ya shujaa wa kupinga Ubaguzi wa Rangi Afrika Kusini, Nelson Mandela.
Rais mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela pia anaadhimisha siku ya kuzaliwa leo akitimiza miaka 95 akiwa bado amelazwa hospitalini.
Serikali ya Afrika Kusini imewaomba wananchi wake

Wednesday, July 17, 2013

PICHA YETU YA LEO UNAZIKUMBUKA ENZI HIZI KAMA WEWE UMEZIPITIA HASA WALE TULIOSOMEA VIJIJINI.

Sote tumetoka katika staili ya namna hii.wale wote ambao mlisomea shule tofauti na hizi hamna cha kusimilia juu ya hii picha.AMA KWELI POLE POLE NDIO MWENDO.Bila maisha ya hivi hata ukiwa kiongozi hautawajua ni kina nani wenye shida.Ila ninachojua mtu wa hivi apate nafasi ya kuwa kiongozi atawatetea wamyonge na masikini kwa sababu anajua ubaya na uzuri wake. 

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 17 2013.


Tuesday, July 16, 2013

KESI YA MAUAJI YA PADRI MUSHI JAJI AJITOA.


Kesi ya mauaji ya Padri Evarist Mushi imechukua sura mpya, kufuatia Jaji wa Mahakama kuu ya Zanzibar, Mkusa Isaac Sepetu kujitoa baada ya

Thursday, July 11, 2013

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 11 2013


MDAU:HAPPY BIRTHDAY ROBERT WILSON (BABA DEVIS)

MDAU KWA LEO ANASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA,WAFUATAO WNAMTAKIA MAISHA MAREFU NA YENYE BARAKA,AMANI ABDALLAH,FARID FAROUK,RICHALD CHALI,BIGILWAMUNGU ELPIDIUS,MUBAAH KATELA(THE BLOGGER),Pia BILA kumsahau mchumba wake ampendae MSUMBA NYAGANGA(MAMA DEVIS)
HONGERA SANA KIJANA WAHESHIMI BABA NA MAMA NA UMPENDE SANA MCHUMBA WAKO NA MTOTO WAKO PIA.

Wednesday, July 10, 2013

MAJINA YA WATAKAOINGIA KIDATO CHA TANO HAYA HAPA


Muhula wa kwanza kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwaka huu 2013 itaanza mwezi Julai. 


Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na walimu kwa masomo husika. 


Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu wa shule wameelekezwa kufanya taratibu za kuazima walimu wa muda na kutoa taarifa kwa

Tuesday, July 9, 2013

MISRI HAKUKALIKI TENA.

Maafisa wa Afya Misri wamesema takriban watu 42 wameuawa kwa kupigwa risasi mjini Cairo nje ya kambi ya kijeshi ambapo wafuasi wa Rais aliyeondolewa madarakani Mohammed Morsi walikua

Monday, July 8, 2013

VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JULY 9


HEBU CHEKI HIYO AJALI YA NDENGE MDAU WANGU

Ajali mbalimbali zimeendelea kutoka dunia hii ni Ajali ya ndege kutoka Asia kuelekea San Fransisco amabpo inasemekana katika Ajali hiyo vijana wawili wakichinma walipoteza maosha na Abiria 182 kujeluiwa Bfyya lnk hapo chini kucheki video hiyo.
http://online.wsj.com/article/SB10001424127887323823004578591422758092016.html?mod=world_newsreel#

WANAWAKE WAWILI KUTOKA TANZANIA WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HUKO SOUTH AFRIKA TAZAMA VIDEO YAKE HAPA.









BAADA YA KESI YAKE KUAHILISHWA LWAKATARE ASEMA HAYA


KATIKA UKURASA WAKE WA FACEBOOK AMESEMA KWAMBA "Nimshukuru Mungu kwa siku njema ya leo na kwa ajili ya watanzania wote.
Leo ikiwa ni siku ya case yangu kusikilizwa Mahakama ya Mkazi Kisutu, nimereport pamoja na makamanda walionisindikiza. Case imehairishwa mpaka tarehe 22 July 2013.
Pamoja na hayo,mshitakiwa no.2 Ludovick Joseph ameshindwa kupata dhamana kwa sababu ya kutokukamilika kwa nyaraka za dhamana,hata hivyo dhamana yake iko wazi.
Tukiwa nje ya mahakama,kijana Ludovick ameonekana kuwa mnyonge na kulia sana akilalamika kutojishughulisha kwa ndugu zake(ambao hawakufika mahakamani) kufuatilia dhamana yake.
Nawatakia kazi njema na tusichoke kulitumikia taifa.
Peopleeeeeeeeeeees!"

Thursday, July 4, 2013

MDAU:HAPPY BIRTHDAY FARID FAROUK

                                TUNAKUTAKIA MAISHA MEMA NA YENYE BARAKA TELE.

MAGAZETI YA LEO JULY 4


PICHA:WAFUNGWA WANAVYOTESEKA GEREZANI

Hawa ni wafungwa huko nchini NIGERIA wakiwa Gerezani amabapo wamekuwa wakiishi kwa msongamano mkubwa sana huku wakilala kwa style ya aina yake.


BAADA YA RAIS MORSI KUPINDULIWA RAIS MPYA WA MPITO KUAPISHWA LEO

Jaji mkuu wa mahakama ya kikatiba nchini Misri Adli Mansour anatarajiwa kuapishwa kama rais wa mpito wa nchi hiyo baada ya jeshi kumng'oa madarakani rais Mohammed Morsi, ambaye ni kiongozi wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini humo.Mkuu wa jeshi Generali Abdul Fattah al-Sisi alitoa tangaza hilo kupitia televisheini Jumatano jioni, katika kile Morsi, alisema

Wednesday, July 3, 2013

RIHANNA NA PICHA ZA UCHI SASA NI VIDEO YAKE


Baada ya Mwanadada RIHANNA kuwa na tabia ya kuweka picha za uvhi mtandaoni sasa Mwanadada huyo ameamua kutoa video yake hebu icheki hapao chini kwa kubofya link hapo chini mdau wangu
http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=Y_zTy6icegU

WAPONA UKIMWI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI

Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi maishani mwao baada ya kufanyiwa upasuaji na kupandikiziwa uboho wan binadamu au (Bone marrow), hatua inayosemekana kuondoa virusi vya HIV mwilini mwao.
Mgonjwa mmoja amesemekana kukaa kwa miezi minne bila ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi bila ya dalili ya kurejea kwa uogonjwa huo.

Matokeo ya utafiti huo yaliwasilishwa katika mkutano wa kimataifa kuhusu maswala ya Ukimwi.Madaktai waliofanya utafiti huo katika hospitali ya matibabu kwa wanawake ya Brigham nchini Marekani, wanasema ni

MISRI KWA FUKUTA RAIS MORSI SASA YAWEZEKANA AKAPINDULIWA

Hali ya taharuki imetanda Misri huku makataa iliyotolewa na jeshi kwa rais wa nchi hiyo Mohammed Mosri ikikaribia kufika ukingoni.
Kuna taarifa za kutofautiana kuhusu ikiwa jeshi litatoa taarifa punde baada ya muda huo wa masaa 48 aliopewa rais Morsi kutafuta suluhu ya mgogoro huo kutimia.
Maafisa wakuu wa serikali wako kwenye mkutano wa dharura nchini Misri, saa chache kabla ya muda wa mwisho ambao jeshi na upinzani zilimpa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi

PICHA ZA MATUKIO KATIKA AJALI YA BUS LA SAIBABA MKOANI PWANI WAKATI LINATOKA DAR ES SALAAM KUELEKEA SONGEA


LULU AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA TANGU ATOKE JELA

Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu. 
Lulu aliye na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha

MSANII MAARUFU BONGO MOVIE ABAKWA

Kuna habari  mbaya  ambazo  zilianza  kusambaa  mtandaoni  jana.Habari  hizo  zinazomhusu  msanii  maarufu  wa  bongo  movie  ambaye  anadaiwa  kubakwa  (Mtungo ) na  wanaume  kadhaa.

Habari  hizo  zinadai  kuwa,

ALIYOYASEMA BARACK OBAMA AKIWA UBUNGO

President Barack Obama wa Marekani tayari amemaliza ziara yake ya siku mbili Tanzania ambapo sehemu ya mwisho kuitembelea ilikua Ubungo Dar es salaam ambako aliidhinisha mpango wa serikali yake wa dola