
Friday, May 17, 2013
WANAFUNZI WANAOJIUZA CBE NA UDSM MAJINA YAO HEWANI.

T.I.D APOKEA MABANGO BAADA YA KUSUSA SHOO YA ANACONDA(LADY JAYDEE)
Wadau kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wamemjia juu msanii mkongwe T.I.D ali maarufu kama mnyama.hiyo ni baada ya kususia shoo ya mwanadad JIDE inyotegemea kufanyika tarehe 31may.T.I.D anashutumiwa kufanya hicho kitu baada ya kushawishiwa na watu maarufu na wamiliki wa kituo kikubwa cha redio nchini.
Arafat.
arafat ngumi jiwe katika kashifa ya kuliwa kiboga baada ya kufamaniwa akimfanyia mtoto mambo hayo.
LAMPARD SHUJAA WA MAGORI CHELSEA.

VITA YASHIKA KASI NIGERIA.

CD ZA UAMSHO MARUFUKU KUUZWA ZIPO NA ILUNGA.
Katika hali isiyo ya kawaida mjini Zanzibar cd za uamsho na zile za shekhe ILUNGA na mashehe wengine zimepigwa marufuku.Ni kwa kile kinachodaiwa kwamba CD hizo zinaleta uchochezi wa kidini ambao ni hatari kwa amani ya taifa na inasemakana ndo chanzo cha kulleta baina ya sintoelewana kati ya dini mbili waislamu na wakristo Nchini.

KUTOKA MTWARA.
KUTOKA MTWARA.
Katika mji wa mtwara kulitegemewa leo kuwepo na maandamano ambapo mji huo umekumbwa na hofu kiasi kwamba baadhi ya biashara katika mji huo hazijafanyika.Mji huo umekuwa tulivu na polisi walionekana wakiranda randa katika mji huo.
Subscribe to:
Posts (Atom)