Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Sunday, May 26, 2013

HIZI NDIZO SARAFU ZILIZOTUMIKA ZANZIBAR KABLA YA MUUNGANO.


Sarafu rasmi ya Zanzibar (Zanzibar rupee) ilitumika kati ya mwaka 1908- 1935. Sarafu ya Afrika Mashariki ilianza kutumika mwaka 1936 hadi mwaka 1969. Lakini baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 1964, Tanzania ikaanzisha safaru yake iliyochukuwa nafasi ya sarafu ya Afrika Mashariki kuanzia mwaka 1969. Vijana wa sasa mnalifahamu hilo
 Baada ya 1884, Zanzibar ilitumia sarafu za aina tatu kwa mpigo. Sarafu ya kwanza ilijulikana kama Maria Theresa Thaler iliyotolewa Italy, ilikuwa na sura ifuatayo
                                                Noti ya rupia 5 iliyotumika Zanzibar mwaka  1905.
                                     Noti hii ya rupee 1 ya Zanzibar ilianzishwa na kutumika mwaka 1920

No comments:

Post a Comment