Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, May 21, 2013

MILUTIN MICHO ATEULIWA KUWA KOCHA MKUU WA UGANDA.

Kocha mwenye historia ya pekee katika ukanda wa Afrika mashariki na kati,Srodjevic Milutin Micho ameteuliwa kuwa
Kocha mpya wa Timu ya UGANDA alimaarufu The Cranes.kocha huyo amesign mkataba wa miaka miwili.Hapo awali kocha huyo alikuwa ni kocha wa Timu Ya Rwanda.

No comments:

Post a Comment