Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Tuesday, May 21, 2013

KUMBUKUMBU YA KUZAMA KWA MELI YA MV.BUKOBA

 Mnamo tarehe kama ya leo Mei 21 mwka 1996 meli ya Mv Bukoba ikiwa imebakiza km tkribani 54
kufika jijini mwanza ilizama ambapo Abiria takribani 1000 walipoteza maisha

                       Hili ndilo eneo wlipozikwa wahanga wa ajali ya meli ya MV.BUKOBA.
                               Eneo ndani ya ziwa victoria ambapo meli hiyo ilizama na kupoteza maelfu ya Abiria

No comments:

Post a Comment