Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Thursday, July 4, 2013

MDAU:HAPPY BIRTHDAY FARID FAROUK

                                TUNAKUTAKIA MAISHA MEMA NA YENYE BARAKA TELE.

MAGAZETI YA LEO JULY 4


PICHA:WAFUNGWA WANAVYOTESEKA GEREZANI

Hawa ni wafungwa huko nchini NIGERIA wakiwa Gerezani amabapo wamekuwa wakiishi kwa msongamano mkubwa sana huku wakilala kwa style ya aina yake.


BAADA YA RAIS MORSI KUPINDULIWA RAIS MPYA WA MPITO KUAPISHWA LEO

Jaji mkuu wa mahakama ya kikatiba nchini Misri Adli Mansour anatarajiwa kuapishwa kama rais wa mpito wa nchi hiyo baada ya jeshi kumng'oa madarakani rais Mohammed Morsi, ambaye ni kiongozi wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia nchini humo.Mkuu wa jeshi Generali Abdul Fattah al-Sisi alitoa tangaza hilo kupitia televisheini Jumatano jioni, katika kile Morsi, alisema

Wednesday, July 3, 2013

RIHANNA NA PICHA ZA UCHI SASA NI VIDEO YAKE


Baada ya Mwanadada RIHANNA kuwa na tabia ya kuweka picha za uvhi mtandaoni sasa Mwanadada huyo ameamua kutoa video yake hebu icheki hapao chini kwa kubofya link hapo chini mdau wangu
http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=Y_zTy6icegU

WAPONA UKIMWI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI

Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi maishani mwao baada ya kufanyiwa upasuaji na kupandikiziwa uboho wan binadamu au (Bone marrow), hatua inayosemekana kuondoa virusi vya HIV mwilini mwao.
Mgonjwa mmoja amesemekana kukaa kwa miezi minne bila ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi bila ya dalili ya kurejea kwa uogonjwa huo.

Matokeo ya utafiti huo yaliwasilishwa katika mkutano wa kimataifa kuhusu maswala ya Ukimwi.Madaktai waliofanya utafiti huo katika hospitali ya matibabu kwa wanawake ya Brigham nchini Marekani, wanasema ni

MISRI KWA FUKUTA RAIS MORSI SASA YAWEZEKANA AKAPINDULIWA

Hali ya taharuki imetanda Misri huku makataa iliyotolewa na jeshi kwa rais wa nchi hiyo Mohammed Mosri ikikaribia kufika ukingoni.
Kuna taarifa za kutofautiana kuhusu ikiwa jeshi litatoa taarifa punde baada ya muda huo wa masaa 48 aliopewa rais Morsi kutafuta suluhu ya mgogoro huo kutimia.
Maafisa wakuu wa serikali wako kwenye mkutano wa dharura nchini Misri, saa chache kabla ya muda wa mwisho ambao jeshi na upinzani zilimpa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi

PICHA ZA MATUKIO KATIKA AJALI YA BUS LA SAIBABA MKOANI PWANI WAKATI LINATOKA DAR ES SALAAM KUELEKEA SONGEA


LULU AFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA TANGU ATOKE JELA

Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu. 
Lulu aliye na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha

MSANII MAARUFU BONGO MOVIE ABAKWA

Kuna habari  mbaya  ambazo  zilianza  kusambaa  mtandaoni  jana.Habari  hizo  zinazomhusu  msanii  maarufu  wa  bongo  movie  ambaye  anadaiwa  kubakwa  (Mtungo ) na  wanaume  kadhaa.

Habari  hizo  zinadai  kuwa,

ALIYOYASEMA BARACK OBAMA AKIWA UBUNGO

President Barack Obama wa Marekani tayari amemaliza ziara yake ya siku mbili Tanzania ambapo sehemu ya mwisho kuitembelea ilikua Ubungo Dar es salaam ambako aliidhinisha mpango wa serikali yake wa dola

Tuesday, July 2, 2013

MAGAZETI YA LEO JULY 3 2013


MAUAJI YA DAUDI MWANGOSI WATUHUMIWA WAACHIWA HURU



MAHAKAMA ya Wilaya ya Mufindi imetupilia mbali mashtaka  yaliyokuwa yakiwakabili Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Hamad Yusuph na wenzake 42.

Kiongozi huyo pamoja na wenzake walikuwa wakikabiliwa na makosa matatu likiwemo la

MCHUNGAJI AFUNGWA MIAKA 30 JELA NA VIBOKO 12 KILA SIKU KWA KOSA LA UBAKAJI


FAMILIA YA MCHUNGAJI IKIONGEA NA MWANDISHI WA HABARI BAADA                    YA HUKUMU KUTOLEWA

MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God of Tanzania(EAGT) la Iwambi Jijini Mbeya Daniel Mwasumbi amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na viboko 12 baada ya kukutwa na makosa mawili ya Kubaka na kumpa mimba Mwanafunzi wa miaka 19.

Akisoma hukumu hiyo Hakimu wa mahakama ya Wilaya ya Mbeya Ndugu Gilbert Ndeuruo amesema Mahakama imemtia hatiani kutokana na

PICHA;RAIS OBAMA ALIPOKUTANA NA BUSH KATIKA ARDHI YA TANZANIA.


GAZETI LA MAREKANI LAANIKA MAOVU YA TANZANIA

Tanzania imekosolewa na gazeti maarufu la Marekani wakati Rais Obama akipokewa kwa nderemo na vifijo.

Gazeti hilo maarufu nchini Marekani la The New York Times,limechapisha habari za kuonesha

TASWIRA KATIKA BARABARA ATAKAYOPITA BARRACK OBAMA JIJINI DAR ES SALAAM


Monday, July 1, 2013

KIMAMA NACHO CHAJITOSA KLABU NA KINGUO CHA AJABU HUKU KIKILA DANCE BILA WOGA.

Kimama au kibonge ambaye hakuweza kufahhamika mara moja alitimba club na kivazi cha ajabu huku akila dance bila woga vijana nao kwa kupenda mambo hawako nyuma nao wakaamua kusrebuk naye huyo mama.Kama unavyomuona naye ameonesha tumbo lake lilivyo la ukweli.

Sunday, June 30, 2013

EMMANUEL OKWII SASA KUUZWA ULAYA

Dar es Salaam. Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inatarajia kumpiga bei mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kabla hata haijamaliza malipo ya deni la kumnunua mchezaji huyo raia wa Uganda kutoka Simba ya Dar es Salaam.
Okwi, aliyenunuliwa na Simba kutoka Sports Club Villa ya Uganda mwaka 2010 kwa ada ya uhamisho ya Dola 40,000, anatarajiwa kuuzwa klabu ya

BAADA YA OBAMA SASA NI GEORGE BUSH KUTUA NCHINI KESHO.


RAIS mstaafu wa Marekani, George W. Bush na mkewe, Laura wanatarajiwa kesho kuwa nchini kuhutubia kongamano linalojadili wajibu wa wake wa marais katika kuinua wanawake duniani.

Kuwasili kwa Bush, ni mwendelezo wa wiki hii Jiji la Dar es Salaam kuwa katika pilikapilika za