Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, May 17, 2013

CD ZA UAMSHO MARUFUKU KUUZWA ZIPO NA ILUNGA.

Katika hali isiyo ya kawaida mjini Zanzibar cd za uamsho na zile za shekhe ILUNGA na mashehe wengine zimepigwa marufuku.Ni kwa kile kinachodaiwa kwamba CD hizo zinaleta uchochezi wa kidini ambao ni hatari kwa amani ya taifa na inasemakana ndo chanzo cha kulleta baina ya sintoelewana kati ya dini mbili waislamu na wakristo Nchini.

No comments:

Post a Comment