Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, May 17, 2013

KUTOKA MTWARA.

Katika mji wa mtwara kulitegemewa leo kuwepo na maandamano ambapo mji huo umekumbwa na hofu kiasi kwamba baadhi ya biashara katika mji huo hazijafanyika.Mji huo umekuwa tulivu na polisi walionekana wakiranda randa katika mji huo.

No comments:

Post a Comment