Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, May 17, 2013

T.I.D APOKEA MABANGO BAADA YA KUSUSA SHOO YA ANACONDA(LADY JAYDEE)


Wadau kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii wamemjia juu msanii mkongwe T.I.D ali maarufu kama mnyama.hiyo ni baada ya kususia shoo ya mwanadad JIDE inyotegemea kufanyika tarehe 31may.T.I.D anashutumiwa kufanya hicho kitu baada ya kushawishiwa na watu maarufu na wamiliki wa kituo kikubwa cha redio nchini.

No comments:

Post a Comment