Muungano wa Afrika umeituhumu mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kuwaandama wafrika kwa sababu ya
Monday, May 27, 2013
JIDE MPAKA JUNE 13: LWAKATARE NGOMA NZITO BADO
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo Jumatatu, Mei 27 kupata dhamana baada ya Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Kisutu, Sundi Fimbo kueleza kuwa Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Aloyce Katemana, bado yupo likizo tangu wiki tatu zilizopita.
Watuhumiwa wanakabiliwa na shitaka la kupanga njama za kumnywesha sumu Mhariri wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky
Sunday, May 26, 2013
Saturday, May 25, 2013
NKURUNZINZA KUJA TANZANIA.KUFANYA NINI SOMA HAPA.
Kutokana na mkutanao mkubwa wa injili ulioandaliwa na mabaraza ya kanisa ya kipentekoste Raisi wa Burundi
Subscribe to:
Posts (Atom)












