Friday, June 21, 2013
VIDEO YA MKUTANO WA CHADEMA ULIOSHAMBULIWA SOWETO ARUSHA
Hii ndio video ya Mkutana uliofanyika huko Arusha na badae kutokea Mlipuko wa BOMU.
Thursday, June 20, 2013
SUALA LA WATU KUJIROKODI HUK WAKIFANYA NGONO LAZIDI KUSHIKA KASI HEBU CHEKI HII.
Suala la watu kujirokodi hali yakuwa wanafanya ngono limekuwa sasa ni la kawaida sana hawa nao waamua kufanya yao chonde chonde usiangalie hii mpaka uwe na umri wa miaka 18 KUONA VIDEO HIYO BOFYA HAPO LINK INAYOFATA.http://universaleribellah.blogspot.com/2013/06/hii-imekua-tabia-ya-kawaida-katika-vyuo.html
Wednesday, June 19, 2013
UVAAJI WA NAMNA HII UNAASHIRIA NINI?
Katika swala lisilo la kawaida mambo kama haya yameendelea katika jamii.Jambo la kujiuliza ni kwamba je wakemeji wamekosa au sote tushakuwa wale wale tunapenda mambo kama haya
kwa mda wako waweza kuchukua fursa yako na kukemea mambo kama haya hasa we mwanajamii unayelinda maadili ya jamii hii ili yasiweze kupotea.Ni wewe pamoja na mimi twaweza kukomesha tabia hii,
KAHABA ACHEZEA KICHAPO BAADA YA KUGUNDULIKA ANAFANYA HIYO BIASHARA KARIBU NA MSIKITI:
KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.
LUNDENGA AMTIMUA MREMBO KISA NINI SOMA HAPA.
MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa
PICHA:HAYA NDIO MAMBO MCHAFU YANAYOTEKEA JUKWAANI WKATI WASANII WAKITUMBUIZA
Hivi fikiria umeenda kwenye tamasha la muziki huku ukiangalia wasanii wanojiita kioo cha jamii unaona mambo kama haya yanatokea utafanyaje wewe kama wewe?
Wasanii mbalimbali Afrika kw ujumla wamekuwa na tabia za kucheza huku wakionesha sehemu zao za siri na maungo ya mwili huku wakijua hicho ndicho wanachotaka mashabiki.Suala hili kwa mtizamo wangu sio zuri na ni bora wakaacha mara moja.Natoa Rai kwa Watanzania wenzangu na Afrika kwa ujumla kuweza kukemea na kuchuka hatua juu ya tabia hizi mbovu za wasnii wetu hususani pale tendo hili linapojitokeza.
Tuesday, June 18, 2013
NAPE, GODBLESS LEMA, NA MBOWE WATAKIWA KUPELEKA USHAHIDI POLISI
Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao kudai kufahamu watu waliohusika na tukio la kurushwa bomu mwishoni mwa wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana, Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja aliwataka wanasiasa hao
TAMKO LA CHADEMA UK KUHUSU MLIPUKO WA ARUSHA.
TAMKO RASMI CHADEMA UK
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika
Subscribe to:
Posts (Atom)











.jpg)

