Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Friday, June 21, 2013

NASSARI;LOWASSA ANAHUSIKA KUNIPIGA.


Dar es Salaam. Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.Aidha amemtuhumu

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 22 2013


VIDEO YA MKUTANO WA CHADEMA ULIOSHAMBULIWA SOWETO ARUSHA


Hii ndio video ya Mkutana uliofanyika huko Arusha na badae kutokea Mlipuko wa BOMU.




SIRI YAFICHUKA MLIPUKO WA BOMU LA ARUSHA:

Imethibitika kwamba technology ya mawasiliano hivi sasa imekua kwa kasi ya ajabu sana, kiasi chakufikia kuwa kumbe siyo lazima tutegemee camera za waandishi wa habari kuchukua matukio.

Ni kwamba chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwenye mkutano wake wa mwisho licha

Thursday, June 20, 2013

SUALA LA WATU KUJIROKODI HUK WAKIFANYA NGONO LAZIDI KUSHIKA KASI HEBU CHEKI HII.

Suala la watu kujirokodi hali yakuwa wanafanya ngono limekuwa sasa ni la kawaida sana hawa nao waamua kufanya yao chonde chonde usiangalie hii mpaka uwe  na umri wa miaka 18   KUONA VIDEO HIYO BOFYA HAPO LINK INAYOFATA.http://universaleribellah.blogspot.com/2013/06/hii-imekua-tabia-ya-kawaida-katika-vyuo.html

KESI INAYOMKABILI RAISI KENYATA YAAHIRISHWA

Mahama ya kimataifa ya ICC imeakhirisha siku ya kuanza kusikilizwa kwa kesi dhidi ya rais Uhuru Kenyatta hadi tarehe 12 mwezi Novemba mwaka huu.
Hii ni kufuatia ombi la mawakili wa Rais Kenyatta kutaka kesi yao kuahirishwa hadi mwezi Januari mwaka ujao.Kenyatta anakabiliwa na

Wednesday, June 19, 2013

UVAAJI WA NAMNA HII UNAASHIRIA NINI?

Katika swala lisilo la kawaida mambo kama haya yameendelea katika jamii.Jambo la kujiuliza ni kwamba je wakemeji wamekosa au sote tushakuwa wale wale tunapenda mambo kama haya


kwa mda wako waweza kuchukua fursa yako na kukemea mambo kama haya hasa we mwanajamii unayelinda maadili ya jamii hii ili yasiweze kupotea.Ni wewe pamoja na mimi twaweza kukomesha tabia hii,


KAHABA ACHEZEA KICHAPO BAADA YA KUGUNDULIKA ANAFANYA HIYO BIASHARA KARIBU NA MSIKITI:


KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.

LUNDENGA AMTIMUA MREMBO KISA NINI SOMA HAPA.


MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa

PICHA:HAYA NDIO MAMBO MCHAFU YANAYOTEKEA JUKWAANI WKATI WASANII WAKITUMBUIZA

Hivi fikiria umeenda kwenye tamasha la muziki huku ukiangalia wasanii wanojiita kioo cha jamii unaona mambo kama haya yanatokea utafanyaje wewe kama wewe?

Wasanii mbalimbali Afrika kw ujumla wamekuwa na tabia za kucheza huku wakionesha sehemu zao za siri na maungo ya mwili huku wakijua hicho ndicho wanachotaka mashabiki.Suala hili kwa mtizamo wangu sio zuri na ni bora wakaacha mara moja.Natoa Rai kwa Watanzania wenzangu na Afrika kwa ujumla kuweza kukemea na kuchuka hatua juu ya tabia hizi mbovu za wasnii wetu hususani pale tendo hili linapojitokeza.

Tuesday, June 18, 2013

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO.JUNI 19 2013


NAPE, GODBLESS LEMA, NA MBOWE WATAKIWA KUPELEKA USHAHIDI POLISI


Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao kudai kufahamu watu waliohusika na tukio la kurushwa bomu mwishoni mwa wiki iliyopita. 


Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana, Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja aliwataka wanasiasa hao

VURUGU ZA ARUSHA LEMA AJIFICHA KWA MCHOMA NYAMA:WAANDISHI WACHEZEA KICHAPO

Wabunge wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye Uwanja wa Soweto jana.

Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja alisema jana

VIDEO:POLISI WALIVYOTIMUA WAFUASI WA CHADEMA HUKO ARUSHA.

PICHA ZAIDI ZA MATUKIO YA MABOMU HUKO ARAUSHA:


MABOMU YALINDIMA HUKO ARUSHA;SABABU ZIKO HAPA

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za

HAYA NDIO MAPENDEKEZO YA BAJETI YA KAMBI YA UPINZANI 2013/2014

MAPENDEKEZO YA BAJETI 2013/14 YA KAMBI YAUPINZANI
i. Sheria ya Kodi ya Mapato, SURA 332.
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inapendekeza kiwango cha chini cha kutoza kodi ya mapato ya ajira kwa mfanyakazi (PAY AS YOU EARN) kishuke kutoka asilimia

TAMKO LA CHADEMA UK KUHUSU MLIPUKO WA ARUSHA.

TAMKO RASMI CHADEMA UK
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katika

VIDEO:MAHOJIANO YA MTANZANIA ALIYEKAMATWA NA MADAWA HUKO MISRI

HALIMA MDEE NA IDD AZZANI WAFANYA MAZOEZI TIYARI KWA MPAMBANO:

Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na Idd Azan ambaye ni Mbunge wa Kinondoni, wameanza kujichua kwa ajili ya mapambano yao ya ndondi katika Tamasha la Matumaini 2013 litakalofanyika Julai 7 katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Halima Mdee atazipiga na