Chama cha Mapinduzi kimeeleza hoja 12 katika kesi ya rufaa ya kupinga ushindi wa ubunge wa Mbunge
Sunday, June 2, 2013
BREAKING NEWS:MELI YA MV ALAFAT INATEKETEA KWA MOTO TANGA.
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE ZINATUARIFU KUWA MELI YA MIZI
GO YA MV ARAFAT INATEKETEA KWA MOTO KATIKA BANDARI YA TANGA...
KWA TAARIFA ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA BLOG YETU
UKUTA WA MNARA WA MAJI WAANGUKA PEMBA WATU WAPOTEZA MAISHA.
JUMLA ya watu watatu wamefariki dunia papo hapo na watatu kujeruhiwa baada ya kuangukiwa na ukuta wa mnara wa tanki la maji uliopo
JK HAMUOMBI RADHI KAGAME:
Serikali ya Tanzania imesema haitaomba radhi kwa serikali ya Rwanda kutokana na kauli ya Raisi Kikwetwe alipoishauri Rwanda
Saturday, June 1, 2013
POROJO ZA SABABU YA KIFO CHA NGWEA ZAZIDI KUCHANGANYA SOMA HAPO CHINI.
KIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika.
Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia ya simu moja kwa moja kutokea nchini humo, Mtanzania mmoja (jina tunalo) alisema muda huo yeye alikuwa nje ya Hospitali ya St. Helen Joseph ambako mwili wa marehemu ulikuwa umehifadhiwa kwenye Mochwari ya Hillbrow.
Mbongo huyo alisema alifanikiwa kuutazama mwili wa marehemu Ngwea ambapo ulionesha kuwa
NYIMBO NIJULISHE YA MSANII FARY D (UDOM) INAKUJIA HIVI KARIBUNI.
Msanii anayeitwa Fary D kutoka (UDOM) anatarajia kutoa nyimbo yake inayoenda kwa jina la Nijulishe.Msanii huyo anaekuja kwa kasi amewaambia mashabiki wake wakae mkao wa kula kuweza kupokea ujio wa msanii huyo anaekuja kwa kasi sana.
VIDEO:KITUO CHA TELEVISHENI CHAONESHA NGONO WAKATI WA TAARIFA YA HABARI
Katika hali isiyo ya kawaida kituo kimoja cha televisheni nchini Ubeligiji kimejikuta kikishitakiwa.Kituo hicho kimejikuta kikishitakiwa baada ya kuonyesha video ya ngono nyuma ya msomaji wa habari.
ZANA ZA HIZBOLLAH ZAPATIKANA NIGERIA.
Karakana ya silaha inayoaminika kumilikiwa na kundi la Hezbollah, nchini Lebanon imapatikana Kaskazini mwa Nigeria.
Kwa mujibu wa taarifa za jeshi na shirika la ujasusi la Nigeria
FUNUNU RASIMU YA KATIBA YAWEZA KUTOKA JUMATATU
Kutokana na fununu mbalimbali siku ya Juma tatu tunaweza kupata Rasimu mpya ya Katiba. Katiba amabayo ndo inapaswa kukidhu kiu ya Watanzania.Hizi ni tweet za muheshimiwa Zitto
Friday, May 31, 2013
CCM NA MBINU ZA KUHUJUMU UBUNGE WA LISSU
Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, amekaliwa “kooni’ tena,
kufuatia hatua ya
SHEREHE ZINAZOFANYWA NA MADADA VYUO VIKUU ZA JINSIA MOJA.
Kutokana na kile kinachoendelea duniani ni pamoja na wimbi la kuongezeka mapenzi ya jinsia.Huko nchini
SIKILIZA WABUNGE WA CUF NA CHADEMA WAKIOMBANA RADHI LEO BUNGENI
KUTOKANA NA FUJO ZILIZOTOKEA JANA LEO HII WABUNGE WAOMBANA RADHI WOTE WA CUF NA CHADEMA.ZISIKILIZE SAUTI ZAO HAPO CHINI.
I'm listening to taarifa ya habari ya tbc=== @Hulkshare:
WANAFUNZI MZUMBE WAFUKUZWA WAPEWA SIKU MBILI WAONDOKE:
Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika
Subscribe to:
Posts (Atom)








