Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, May 22, 2013

MSIBA:MWANAFUNZI UDOM AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA TRENI.

 Mwanafunzi anayeitwa Boid Mwakitalima amefariki dunia baada ya kugongwa na treni eneo la Dodoma station,mwanafunzi huyo alaikuwa akitembea kando kando ya reli huku

SIKILIZA Young Kacha ft. Darassa & Milltana-Trave.

 Young Kacha ft. Darassa & Milltana

BREAKING NEWS:BUNGE LAAHIRISHWA KISA VURUGU ZA MTWARA.

Kutokana na habari zilizopo kwamba mjini Mtwara kuna vurugu kubwa sana.Hali hiyo imesababisha Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

PICTURE OF THE DAY.


SOMA HAPA:SABABU YA KULA MOYO WA ADUI SYRIA.

Kisa cha hivi karibuni cha mwanajeshi kuula moyo wa adui yake nchini Syria kimeonekana kuwashangaza watu wengi.Lakini je tukio hilo ndo la kinyama kuliko matukio yote yanayotokea wakati wa vita?

TUME YAPENDEKEZA WAKUBWA KUSHTAKIWA KENYA.


Rais wa Kenya  Uhuru Kenyata na naibu wake wametajwa katika ripoti inayowahusisha na ghasia za baada ya uchaguzi katika ripoti hiyo iliyosubiriwa kwa muda mrefu kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu.Ripoti hiyo hata hivyo haikutoa mapendekezo ya hatua za

TASWIRA YA UDOM PALE NEEMA INAPOINGIA.(BOOM)


CHUKUA TIME KUPITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO.


KAKA NA DADA WAKAMATWA WAKIVUNJA AMRI YA SITA.

Dunia kweli imefikia mkiani na inakaribia kabisa kupotea,tukio la kunaswa kwa vijana wawili wenye undugu wa damu wakifanya

MTWARA KWACHAFUKA TENA.

Mabomu  maeneo ya Magomeni-Mtwara yanaendelea kurindima. Sasa hali si shwari kila eneo, Mabavu yamechukua mkondo wake. Wananchi wamejifungia majumbani mwao. Chuki dhidi ya Polisi yaimarika. Polisi wanapiga mabomu bila mwelekeo. Magomeni na sokoni kimenuka, mabomu yanarushwa na wananchi wanakimbia ovyo

Tuesday, May 21, 2013

(AUDIO) SIKILIZA NGOMA MPYA YA LINEX FT WYRE.

ANGALIA HIYO MTU WANGU UONGEZE SIKU ZA KUISHI.

HEBU CHUKUA TIME YAKO KUCHEKI HIYO.VERY FUNNY

VIDEO MKENYA AKILALAMA KWA NINI OBAMA AIBUKE TANZANIA NA SIO KENYA

BUKOBAWADAU : CHECK VIDEO MKENYA AKILALAMA KWA NINI OBAMA AIBUKE...

KUHUSU KINGUNGE KUZUSHIWA KIFO.

Taarifa za kuaminika ni kwamba Mzee Kingunge hajafariki dunia kama inavyotajwa na mitandao.ni mzima wa afya kabisa.chanzo cha habari millardao.com @millardayo.

MILUTIN MICHO ATEULIWA KUWA KOCHA MKUU WA UGANDA.

Kocha mwenye historia ya pekee katika ukanda wa Afrika mashariki na kati,Srodjevic Milutin Micho ameteuliwa kuwa

ALICHOKISEMA PROF J BAADA YA KUPOKEA KADI YA CHADEMA.

Profesa Jay amesema yeye ni mwanaharakati muda mrefu na amejiunga na amejiunga na CHADEMA rasmi leo lakini yeye ni mfuasi wa

MAJIBU YA VODACOM KUHUSU SAKATA LA MAGESA MULONGO NA LEMA.

KAMANDA wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amedai kuwa uchunguzi wa awali kuhusu ujumbe unaodaiwa kutumwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, umetumwa na mtandao wa simu wa nje ya nchi.

PICTURE OF THE DAY.


BALE KUONDOKA TOTTENHAM.

  
Kocha Tim Sherwood wa Timu ya spurs amesema hakuna njia yoyote lazima Bale ataondoka kwa hiyo