Ni ukweli usiopingika kwamba wanawake wamekuwa katika uhusiano na wnaume amabao tiyari wameshaoa.Kila mtu yaweza kuwa nasababu zake juu ya kwa nini anaingia katika mahusiano ya namna hiyo.Ni ukweli usiopingika kwamba hapo chini ni sababu za kwa nini,Wanawake huingia katika mahusiano na wanaume amabao tiyari wameshaoa.
Saturday, June 15, 2013
MREMA ATANGAZA KUMUUNGA MKONO LOWASSA 2015
Mwenyekiti wa TLP Agustino Lyatonga Mrema amesema kwamba hana mpango wa kugombea Urais 2015 kwani hana
Friday, June 14, 2013
SHOW YA LADY JAYDEE NOMA HEBU CHEKI PICHA ZA MATUKIO.
Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki.
Hii imedhihirisha kuwa majina anayojiita mwanadada huyu ni ya halali kabisa na yanamfaa kwani tafauti na watu walivyodhan palijaa watu hadi wakaanza kubebana ama kwa hakika huyu ni komando,anaconda hebu anagalia picha mdau utakubaliana na mimi
Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo ambapo jana lilikuwepo bonge moja la show la Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii wanamuziki mbali mbali wamepanda jukwaani akiwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.WATOTO 93,000 WAMEUAWA SYRIA
Umoja wa Mataifa umesema takriban watoto elfu tisini na tatu wameuawa nchini Syria tangu kuanza kwa mapigano nchini humo.
Kwa mujibu wa takwimu hizo, idadi hiyo imeongezeka kwa zaidi ya
RAIA WA ZIMBABWE WANAPOKONYWA REDIO:JE UNAJUA CHANZO SOMA HAPA UPATE KUJUA.
Redio kuu kuu zinazotumia kawi ya jua, huenda ni wazo zuri kuwasaidia raia wa Zimbabwe ambao wamekwama katika limbi la umaskini kupiga gumzo nyakati za jioni kabla ya usiku kuingia.
Lakini
KILICHOMUUA LANGA CHATAJWA
Baba mzazi we Langa, Mangisemi Kileo ameeleza chanzo cha kifo cha mwanaye ambaye kimetokea jana katika Hospitali ya Muhimbili.
Langa amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili baada ya
Thursday, June 13, 2013
ABDULRAHMAN KINANA AFUNGUA KESI DHIDI YA PETER MSIGWA.
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi(CCM) Abdulrahmani Kinana amemfungulia kesi Mbunge wa Iringa Mchungaji PETER MSIGWA kwa kile kinachodaiwa kwamba alitoa kauli nje na ndani ya Bunge kuwa
ATEMBEA UCHI MTAANI:
KIJANA BAADA YA MADAWA KUMZIDIA AAMUA KUTEMBEA UCHI MTAANI.KAMA UNATAKA KUONA VIDEO YA KIJANA HUYO BOFYA HAPO CHINI.
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid823619053?bctid=2472340553001
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid823619053?bctid=2472340553001
HIII NDIO BAJETI YA TANZANIA MWAKA 2013/14 KWA UFUPI
Waziri apendekeza Kuanzisha kodi ya zuio ya asilimia 10 ya kamisheni (commission) ya usafirishaji wa fedha kwa njia ya simu za mkononi. Kodi hiyo itakusanywa na kampuni za simu kutoka kwa wakala wanaotoa huduma za kusafirisha fedha kupitia simu za mkononi- Waziri apendekeza Kuongeza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwenye magari yasiyo ya uzalishaji (Non-Utility Motor Vehicles) ya umri wa zaidi ya miaka 10 kutoka asilimia 20 hadi asilimia 25. Hatua hii inalenga katika kupunguza uagizaji wa magari chakavu, kulinda mazingira na kupunguza ajali
KWA KIFUPI
- Katika kipindi cha Julai hadi Aprili 2013, Serikali ilikopa shilingi bilioni
BREAKING NEWS:MSANII LANGA KILEO A.K.A LANGA AFARIKI DUNIA
MSANII AITWAE LANGA KILEO A.K.A LANGA AMEFARIKI DUNIA MDA MCHACHE ULIOPITA LANGA AMEFIKISHWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LEO ASUBUHI AKIWA ANAUMWA MALARIA KALI.HABARI KAMILI TUTAKUTAARIFU.
UJUMBE NA KISA CHA MTANZANIA ALIYEFUNGWA ANGOLA.
Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda
CHEZEA NGUVU YA UMMA WEWE?WABUNGE KENYA WASALIMU AMRI
Wabunge wa Kenya wamesalimu amri ya madai yao ya kuongezewa mshahara waliyokuwa wameshayapigia kura na kujiwekea posho kubwa zikiwemo gari za kifahari na mafao ya kustaafu, liliripoti shirika la habari la AFP siku ya Jumatano (tarehe 12 Juni).
Mwezi uliopita, wabunge wa Kenya walijipigia kura
Subscribe to:
Posts (Atom)



















