Jana jioni msanii wa
kizazi kipya abdul aziz Chende "Dogo janja" kukamatwa na bangi na
Askari polisi na kufikishwa kituo cha polisi Ngarenaro hapa jijini ,katika
kujitetea kituoni hapo alidai kuwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita.Chama hicho
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari juu ya rasimu ya kwanza ya mchakato wa katiba mpya. Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe 10/06/2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM
Mkurugenzi wa Ulinzi na
Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na
mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura, lhivi punde wamepata dhamana na endapo
IMAMU wa msikiti wa Maziwa Ngo’mbeKisiwani Pemba, Omar Hussen Said (42) amepigwa na kujeruhiwa jicho baada ya kutokea vurugu ndani ya msikiti wakati wa ibada ya Ijumaa Juni 7 mwaka, imefahamika jana.
Suala la uwepo wa rushwa ya ngono kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limetinga bungeni Lilijitokeza jana wakati Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Murtaza Mangungu (CCM)
MUIMBAJI MAARUFU WA TAARABU AU MALKIA WA MIPASHO NA MJUMBE WA NEC-CCM TAIFA HADIJA KOPA AMEFIWA NA MUMEWE JAFFARI USIKU WA KUAMKIA LEO.................HABARI ZAIDI ZITAWAJIA HIVI KARIBUNI..
Mwanadada anayesadikika kuwa Mtanzania alikamatwa nchini Egypty akiwa na madawa ya kulevya.Hii hapa chini ni VIDEO inayoonesha ushahidi wa kukamatwa kwa huyo dada wa KITANZANIA.
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inaweza kuendesha kesi yake kwa mara ya kwanza nje ya The Hague baada ya majaji wake kusema kwamba yumkini wakaendesha kesi dhidi ya makamo wa rais wa Kenya katika nchi yake auTanzania.
Majaji hao Jumatatu (03.06.2013) walikuwa wakijibu ombi la mawakili wa William Ruto
Mwili wa marehemu Aalbert Mangwea uliwasili jana kutoka afrika ya kusini na leo hii unatarajiwa kuagwa katika viwanja vya LEADERS mjini Dar es salaam tiyari kwa safari ya kuelekea Morogaoro kwa Mazishi.
Huyu katka picha ni mwandada inayesemaekana alikamatwa nchini misri na madawa na anatarajiwa kunyongwa siku ya Ijumaa.Habari kamili juu ya huyu mwanadada hazijadhibitika kamili enedelea kutembaelea mubaah katela blog.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF, Absalom Kibanda amewasili hivi punde
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere nchini Tanzania, na
kumwaga chozi akitokea Afrika Kusini alikokwenda kwa matibabu baada ya
Caesar Achellam, kamanda wa cheo cha juu wa kundi la LRA Ripoti mpya imesema kwamba kuna ushahidi mkubwa kuwa kundi la waasi la (LRA) linajishughulisha na