Tuesday, July 2, 2013
Monday, July 1, 2013
Sunday, June 30, 2013
EMMANUEL OKWII SASA KUUZWA ULAYA
Dar es Salaam. Klabu ya Etoile du Sahel ya Tunisia inatarajia kumpiga bei mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kabla hata haijamaliza malipo ya deni la kumnunua mchezaji huyo raia wa Uganda kutoka Simba ya Dar es Salaam.
Okwi, aliyenunuliwa na Simba kutoka Sports Club Villa ya Uganda mwaka 2010 kwa ada ya uhamisho ya Dola 40,000, anatarajiwa kuuzwa klabu ya
ZITTO KABWE ATOA YA MOYONI KUHUSU UJIO WA RAISI OBAMA TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA
Hatimaye Barack Obama, Rais wa Marekani anatembelea tena bara la Afrika. Hii itakuwa ni mara ya pili Obama kutembelea Bara hili alikotoka baba yake baada ya ziara yake ya kwanza mwaka 2009. Mwaka huo alitembelea Ghana na Misri ilhali mwaka huu anatembelea Senegali, Afrika Kusini na Tanzania. Ziara hiyo itakayoanza tarehe 26 mwezi Juni, itamfikisha Tanzania tarehe 1 Julai na kuondoka siku ya pili yake.
Uchaguzi wa Obama kuwa Rais wa Marekani ulipokolewa kwa shangwe Afrika nzima. Wakati Waziri wa mambo ya nje wa Nigeria alilia kwa furaha, nchi ya Kenya ilitangaza siku ya mapumziko na Rais wa zamani wa Afrika Kusini ndugu Nelson ‘Madiba’ Mandela alisema ‘ushindi wa Obama unawafanya Waafrika wathubutu kuota ndoto (Jarida la The Economist). Hapa Tanzania kulikuwa kuna
SASA NI LIVE BILA CHENGA RIHANNA AANIKA NYETI YAKE RASMI ILI MUIONE.
Sasa imekuwa ni too much Rihhanna amekuwa ni mtu wa kujiachia sna katika maisha yake hasa pale anapoamua kuonesha maungo yake ya mwili kwa watu.Sasa Rihanna wakati akiwa Beach ameamua kuonesha maungo yake moja kwa moja mazeeeee.wewe chezea weweeeeee
Nadhani we mwenyewe unajionea sijui ni makusudi au alikuwa akifanya yake na mapparazi wakawa wamemnasa nini.
Nadhani we mwenyewe unajionea sijui ni makusudi au alikuwa akifanya yake na mapparazi wakawa wamemnasa nini.
KAULI YA LOWASSA KUHUSU HJIO WA OBAMA:ASIZUNGUMZIE KUHUSU MASHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA AKIWA TANZANIA
Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo yaNje na Ushirikiano wa Kimataifa, Edward Lowassa, amemtahadhalisha kujiepusha na kauli za kuunga mkono ushoga.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ameliambia NIPASHE Jumapili ofisini kwake jijini hapa jana kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.
Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, ameliambia NIPASHE Jumapili ofisini kwake jijini hapa jana kuwa ushoga na hai za ndoa kwa watu wa jinsia moja vinaweza `kuiharibu’ ziara yake hapa nchini.
Mapema wiki hii, Rais Obama alikaririwa akizungumzia masuala hayo yanayotajwa kuwa
Friday, June 28, 2013
Wednesday, June 26, 2013
KUTANA NA WANAWAKE WATANO WALIOPIGA PICHA ZA UTUPU NA SABABU ZA KUFANYA IVO.
KATIKA DUNIA YA SASA HASA WATU WANAYOIITA NI ZAMA ZA MWISHO WANAWAKE WAMEKUWA NA TABIA YA KUPIGA PICHA ZA UTUPU.DAAAH KUMBE SIO KWAMBA WANAPIGA BILA SABABU.DAAH WANAKUWA NA SBSBU BANA.HEBUUU KUTAAANA NA HAWA AKINA MAMA KAMA SIO AKINA DADA WAKUPE SABABU ZA KWA NINI WALIAMAUA KUFNYA HAYO
Huyu sasa unajua kasemaje,dahh wacha wewe wana wake mna mambo kasema eti
DADA AONJA JOTO YA JIWE BAADA YA KUPOST PICHA HII FACEBOOK
Dada huyo hapo chini ameachwa na mpenzi wake baada ya kupost picha iliyomuonyesha matiti yake n a baadhi ya viungo vyake vya mwili.Huyo dada anadai bado anampenda mpenzi wake na anataka warudiane lakini hajui atafanyaje ili waweze kurudiana hebu muangalie hapo chini
Monday, June 24, 2013
Sunday, June 23, 2013
VIDEO:ALIVYOPIGWA MAWE OMMY DIMPOZY HUKO DODOMA KWENYE SHOO YA KILL TOUR
Sasa ni dahairi shahiri kwamba Omy Dimpozy atajutua kile alaichokisema kuhusu Marehem Albert Mangwea.
Saturday, June 22, 2013
TAMASHA LA KILL DODOMA OMMY DIMPOZ AKIONA CHAMOTO APIGWA MAWE AKIWA JUKWAANI.
Msanii wa kizazi kipya OMMY DIMPOZ jana alikiona cha Moto kutoka kwa mashabiki wa Ngwea huko mkoani DODOMA.Hiyo ni baada ya OMMY DIMPOZ kupanada jukwaani kutumbuiza basi hapo ndipo mashabiki walikumbuka tuhuma alaizonazo Msanii huyo za kumtusi Marehem ALBERT MANGWEA.
MSANII BEN POL AKIPAGAWISHA MASHABIKI
MSANII BEN POL AKIPAGAWISHA MASHABIKI
Friday, June 21, 2013
VIDEO YA MKUTANO WA CHADEMA ULIOSHAMBULIWA SOWETO ARUSHA
Hii ndio video ya Mkutana uliofanyika huko Arusha na badae kutokea Mlipuko wa BOMU.
Thursday, June 20, 2013
SUALA LA WATU KUJIROKODI HUK WAKIFANYA NGONO LAZIDI KUSHIKA KASI HEBU CHEKI HII.
Suala la watu kujirokodi hali yakuwa wanafanya ngono limekuwa sasa ni la kawaida sana hawa nao waamua kufanya yao chonde chonde usiangalie hii mpaka uwe na umri wa miaka 18 KUONA VIDEO HIYO BOFYA HAPO LINK INAYOFATA.http://universaleribellah.blogspot.com/2013/06/hii-imekua-tabia-ya-kawaida-katika-vyuo.html
Wednesday, June 19, 2013
UVAAJI WA NAMNA HII UNAASHIRIA NINI?
Katika swala lisilo la kawaida mambo kama haya yameendelea katika jamii.Jambo la kujiuliza ni kwamba je wakemeji wamekosa au sote tushakuwa wale wale tunapenda mambo kama haya
kwa mda wako waweza kuchukua fursa yako na kukemea mambo kama haya hasa we mwanajamii unayelinda maadili ya jamii hii ili yasiweze kupotea.Ni wewe pamoja na mimi twaweza kukomesha tabia hii,
KAHABA ACHEZEA KICHAPO BAADA YA KUGUNDULIKA ANAFANYA HIYO BIASHARA KARIBU NA MSIKITI:
KHAAA! Operesheni Fichua Maovu ‘OFM’ iliyo chini ya Global Publishes, ipo mzigoni na hivi karibuni imenasa tukio la aina yake ambapo mke wa mtu amechezea kichapo ‘hevi’ akidaiwa kufanya ukahaba jirani na msikiti, Risasi Mchanganyiko lina kisa kamili.
LUNDENGA AMTIMUA MREMBO KISA NINI SOMA HAPA.
MWENYEKITI wa Kamati ya Mashindano ya Miss Tanzania, Hashimu Lundenga Jumamosi iliyopita alimtimua mshiriki wa shindano la Redd’s Miss Morogoro 2013, Saphina Chumba (20) jukwaani wakati shindano hilo lilipokuwa likiendelea.
Tukio hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Kitalii ya Nashera mjini hapa wakati mrembo huyo alipokuwa
PICHA:HAYA NDIO MAMBO MCHAFU YANAYOTEKEA JUKWAANI WKATI WASANII WAKITUMBUIZA
Hivi fikiria umeenda kwenye tamasha la muziki huku ukiangalia wasanii wanojiita kioo cha jamii unaona mambo kama haya yanatokea utafanyaje wewe kama wewe?
Wasanii mbalimbali Afrika kw ujumla wamekuwa na tabia za kucheza huku wakionesha sehemu zao za siri na maungo ya mwili huku wakijua hicho ndicho wanachotaka mashabiki.Suala hili kwa mtizamo wangu sio zuri na ni bora wakaacha mara moja.Natoa Rai kwa Watanzania wenzangu na Afrika kwa ujumla kuweza kukemea na kuchuka hatua juu ya tabia hizi mbovu za wasnii wetu hususani pale tendo hili linapojitokeza.
Tuesday, June 18, 2013
NAPE, GODBLESS LEMA, NA MBOWE WATAKIWA KUPELEKA USHAHIDI POLISI
Jeshi la Polisi limetishia kuwakamata Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema na limesema litamhoji Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya wanasiasa hao kudai kufahamu watu waliohusika na tukio la kurushwa bomu mwishoni mwa wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha jana, Mkuu wa Operesheni wa Polisi, Kamishna Paul Chagonja aliwataka wanasiasa hao
TAMKO LA CHADEMA UK KUHUSU MLIPUKO WA ARUSHA.
TAMKO RASMI CHADEMA UK
CHADEMA UK awali ya yote tunapenda kutoa pole kwa waTanzania na wapenzi wa CHADEMA waliopatwa na kukutwa na janga la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA wa kuhitimisha shughuli za kampeni za uchaguzi wa madiwani huko Arusha. Tunatuma salam zetu kuwafariji wale wote walioguswa kwa namna moja ama nyingine katikaMonday, June 17, 2013
MAKALA KUHUSU WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.
Watu wengi nchini Tanzania - na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika 'Kitala', kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa.Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.
KISA CHA KANUMBA KUZALIWA UPYA HIKI HAPA.
Mama Lulu na mama wa marehemu Steven Kanumba wanaonekana kuwa karibu
sana siku hizi na hivyo watu kuzidi kuamini kuwa hawana tofauti tena na kusahau
yaliyopita. Dada wa marehemu Steven Kanumba
Subscribe to:
Posts (Atom)






































.jpg)






