Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Wednesday, June 5, 2013

RUTO NA UHURU KESI YAO KUSIKILIZWA TANZANIA AU KENYA?


Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu inaweza kuendesha kesi yake kwa mara ya kwanza nje ya The Hague baada ya majaji wake kusema kwamba yumkini wakaendesha kesi dhidi ya makamo wa rais wa Kenya katika nchi yake auTanzania.
Majaji hao Jumatatu (03.06.2013) walikuwa wakijibu ombi la mawakili wa William Ruto

KIONGOZI WA ALSHABAB HUKO PUNTLAND SOMALIA AKAMTWA

Maafisa wa utawala katika jimbo la Puntland, wanasema kuwa wamemkamata kiongozi wa kundi la al Shabab katika

SOMA TAARIFA ZA MWNADADA ALIYEKAMATWA MISRI NA MADAWA NA KUHUKUMIWA KUNYONGWA.


guys mmoja wa wasomaji na rafiki wa facebook amemuinbox mdau mmoja amabae alitoa taarifa na kusema kwamba

KONA YA SHERIA KWA LEO.

The Legal Authority Behind Obama’s Patent Push

WAKAZI WA DAR WAUAGA MWILI WA NGWEA VIWANJA VYA LEADERS


MWILI WA MAREHEMU NGWEA ULIPOWASILI VIWANJA VYA LEADERS.


Mwili wa marehemu Aalbert Mangwea uliwasili jana kutoka afrika ya kusini na leo hii unatarajiwa kuagwa katika viwanja vya LEADERS mjini Dar es salaam tiyari kwa safari ya kuelekea Morogaoro kwa Mazishi.



Tuesday, June 4, 2013

VIDEO:WANANCHI WALIVOSUKUMA GARI LILOKUWA NA MWILI WA NGWEA.

SHERIA TETE YA VYOMBO VYA HABARI BURUNDI.

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, ameidhinisha kama sheria mswaada

MWANADADA MTAMZANIA KUNYONGWA MISRI KISA KAKAMATWA NA MADAWA,

Huyu katka picha ni mwandada inayesemaekana alikamatwa nchini misri na madawa na anatarajiwa kunyongwa siku ya Ijumaa.Habari kamili juu ya huyu mwanadada hazijadhibitika kamili enedelea kutembaelea mubaah katela blog.

KIBANDA AWASILI NCHINI AMWAGA CHOZI.

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF, Absalom Kibanda amewasili hivi punde katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere nchini Tanzania, na kumwaga chozi akitokea Afrika Kusini alikokwenda kwa matibabu baada ya

MWILI WA NGWEA HATIMAE WAFIKA BONGO CHEKI HALI ILIVYOKUWA.


HII PICHA INA MAANISHA NINI.


KUNDI LA LRA NA BIASHARA YA MENO YA TEMBO.

                                          Caesar Achellam, kamanda wa cheo cha juu wa kundi la LRA
Ripoti mpya imesema kwamba kuna ushahidi  mkubwa kuwa kundi la waasi la (LRA) linajishughulisha na

GADDAFI ALIFICHA MALI AFRIKA KUSINI:

Wizara ya fedha ya Afrika Kusini inachunguza tuhuma kwamba mali ya thamani ya kama dola

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO


Monday, June 3, 2013

HII NDIO RASIMU MPYA YA KATIBA.

Rasimu ya katiba iliyotoka jana na kusomwa mbele ya watu waliokusanyika huku ikielezea mambo mbalimbali.Kama hujaipata Rasimu hiyo unaweza kubofya link hiyo hapo chini.
http://www.katiba.go.tz/attachments/article/182/Rasimu%20_Final_%20(1).pdf

MWILI WA MAREHEMU NGWEA WAAGWA AFRIKA YA KUSINI.

 Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa

RASIMU YA KATIBA YA SHERIA YAZINDULIWA RASMI


Rasimu ya katiba imeziduliwa leo hii amabapo maswala mbalimbali yameibuka likiwemo la Mgombea binafsi kupendekezwa kuwepo katika katiba ijayo

TAMKO LA BALOZI WA TANZANI AFRIKA KUSINI KUHUSU KUWASILI KWA MWILI WA MAREHEMU NGWEA.


Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini Radhia Msuya.
Balozi wa Tanzania Africa ya Kusini kwenye picha hapo juu ametoa pole kwa familia,wasanii na wadau wote kwa kupotelewa na kijana ambaye bado watu walikuwa wanamuhitaji.Amesema kuwa mwili wa marehemu Ngwair umechelewa kufika Tanzania kutokana na post mortem na taratibu za kupata kibali cha kusafirisha mwili huo kutoka Serikali ya Africa ya Kusini.Radhia alisema kuwa kama taratibu zote zitaenda sawa mwili huo utawasili siku ya Jumanne Tanzania.
HEBU TUMSIKILIZE HAPO CHINI
I'm listening to BALOZI AFRIKA KUSINI FULL.mp3 @Hulkshare:

NANI ASEMWE KATI SINTAH NA BINTI ALIYEMWAGA RADHI TABORA:

Nimeamua kuandika hii habari kwa mtizamo tofauti na wengine.Na hii imetokana na mwanadada SINTAH Kuandika maneno juu ya huyu Mwanadada huko Tabora aliyemwaga radhi mbele ya umati mkubwa.Sintah amekichukulia kitendo hicho kama cha kipuuzi na akacha kukumbuka hata ya kwake.Kwani kama ni sura la picha naye pia aliwahi kuonekana viungo vyake hata zaidi ya huyo mdada na kama suala ni kulewa je yeye kipindi anafanya haya alikuwa amelewa au alikuwa hajalewa.

Kushoto ni Mwanadada wa Tabora aliyemwaga aliyeonyesha makalio

KAMATI YA MAZISHI YA NGWEA YAKUSANYA MILIONI 32

                        Mwenyekiti wa Kamati ya Mazishi Adam Juma (aliyesimama) akisalimiana na                    Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya nyumbani kwa baba mdogo wa   marehemu Mangweha Mbezi Beach Beach jijini Dar.

KAMATI ya Mazishi ya aliyekuwa Msanii wa Bongo Fleva, Albert Mangwea ‘Ngwea’, mpaka jana

Sunday, June 2, 2013

HIZI NDIZO SABABU 12 ZA CCM KUKATA RUFAA DHIDI YA LISSU.

Chama cha Mapinduzi kimeeleza hoja 12 katika kesi ya rufaa ya kupinga ushindi wa ubunge wa Mbunge

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMATATU 3 JUNI 2013


WABUNGE WANASWA KATIKA DANGULO LA UCHI MJINI DODOMA.





Katika ukumbi mmoja mmaarugu mjini DODOMA yamekuwa yakitokea mengi sana.Ikiwemo

BREAKING NEWS:MELI YA MV ALAFAT INATEKETEA KWA MOTO TANGA.

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE ZINATUARIFU KUWA MELI YA MIZI
GO YA MV ARAFAT INATEKETEA KWA MOTO KATIKA BANDARI YA TANGA...

KWA TAARIFA ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA BLOG YETU

UKUTA WA MNARA WA MAJI WAANGUKA PEMBA WATU WAPOTEZA MAISHA.

JUMLA ya watu watatu wamefariki dunia papo hapo na watatu kujeruhiwa  baada ya kuangukiwa na ukuta wa mnara wa tanki la maji uliopo

JK HAMUOMBI RADHI KAGAME:

Serikali ya Tanzania imesema haitaomba radhi kwa serikali ya Rwanda kutokana na kauli ya Raisi Kikwetwe alipoishauri Rwanda

PITIA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI 2 JUNE 2013.


Saturday, June 1, 2013

POROJO ZA SABABU YA KIFO CHA NGWEA ZAZIDI KUCHANGANYA SOMA HAPO CHINI.

KIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika. 
Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia ya simu moja kwa moja kutokea nchini humo, Mtanzania mmoja (jina tunalo) alisema muda huo yeye alikuwa nje ya Hospitali ya St. Helen Joseph ambako mwili wa marehemu ulikuwa umehifadhiwa kwenye Mochwari ya Hillbrow.
Mbongo huyo alisema alifanikiwa kuutazama mwili wa marehemu Ngwea ambapo ulionesha kuwa

NYIMBO NIJULISHE YA MSANII FARY D (UDOM) INAKUJIA HIVI KARIBUNI.

Msanii anayeitwa Fary D kutoka (UDOM) anatarajia kutoa nyimbo yake inayoenda kwa jina la Nijulishe.Msanii huyo anaekuja kwa kasi amewaambia mashabiki wake wakae mkao wa kula kuweza kupokea ujio wa msanii huyo anaekuja kwa kasi sana.

VIDEO:KITUO CHA TELEVISHENI CHAONESHA NGONO WAKATI WA TAARIFA YA HABARI


Katika hali isiyo ya kawaida kituo kimoja cha  televisheni nchini Ubeligiji kimejikuta kikishitakiwa.Kituo hicho kimejikuta kikishitakiwa baada ya kuonyesha video ya ngono nyuma ya msomaji wa habari.














HEBU TAZAMA HIYO VIDEO UPATE KUJIONEA NA KUONGEZA MAISHA.

PICHA:CHEKA NA MUBAAH KWA LEO.


ZANA ZA HIZBOLLAH ZAPATIKANA NIGERIA.

Karakana ya silaha inayoaminika kumilikiwa na kundi la Hezbollah, nchini Lebanon imapatikana Kaskazini mwa Nigeria.
Kwa mujibu wa taarifa za jeshi na shirika la ujasusi la Nigeria

FUNUNU RASIMU YA KATIBA YAWEZA KUTOKA JUMATATU

Kutokana na fununu mbalimbali siku ya Juma tatu tunaweza kupata Rasimu mpya ya Katiba. Katiba amabayo ndo inapaswa kukidhu kiu ya Watanzania.Hizi ni tweet za muheshimiwa Zitto

Friday, May 31, 2013

CCM NA MBINU ZA KUHUJUMU UBUNGE WA LISSU

Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, amekaliwa “kooni’ tena, kufuatia hatua ya

VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI 1 JUNE 2013


SHEREHE ZINAZOFANYWA NA MADADA VYUO VIKUU ZA JINSIA MOJA.

Kutokana na kile kinachoendelea duniani ni pamoja na wimbi la kuongezeka mapenzi ya jinsia.Huko nchini

SIKILIZA WABUNGE WA CUF NA CHADEMA WAKIOMBANA RADHI LEO BUNGENI


KUTOKANA NA FUJO ZILIZOTOKEA JANA LEO HII WABUNGE WAOMBANA RADHI WOTE WA CUF NA CHADEMA.ZISIKILIZE SAUTI ZAO HAPO CHINI.
I'm listening to taarifa ya habari ya tbc=== @Hulkshare:

WANAFUNZI MZUMBE WAFUKUZWA WAPEWA SIKU MBILI WAONDOKE:

Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika

VIDEO:SAMAHANI LAKINI:HEBU CHEKI UCHAFU UNAOFANYIKA BIG BROTHER.

NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA SITA.

Serikali kwa mda mfupi uliopita imetangaza matokeo ya kidato cha sita,ambapo asilimia kubwa ya waliofanya mtihani wamefaulu kupata matokeo hayo tembelea www.necta.go.tz

Thursday, May 30, 2013

K'LYNE APASUA MBARIKA UHUSIAANO WAKE NA REGINALD MENGI.

Kumekuwepo na fununu nyingi juu ya ni nani hasa baba wa watoto mapacha wa

ZERO 30,000 ZAFUTWA NA BARAZA LA MITIHANI.

Wanafunzi 30,063 waliopata daraja sifuri katika matokeo yaliyopita, wameula baada ya

PITIA VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO IJUMAA 31 MEI.


MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MAPYA YATOKA:

Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa matokeo ya kidato cha NNE yametoka kupata matokeo tembelea http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/olevel.htm

TAARIFA YA KUTEKWA KWA MWANDISHI ABSALOM KIBANDA NDIO HII.



  1. TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL - TANGA MEI 30, 2013

  1. UTANGULIZI:Usiku wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, ambaye pia

VIDEO FULL INTERVIEW P-Funk AKIZUNGUMZIA KIFO CHA MANGWEA NA KUWACHANA CLOUDS

HII NDIO KAULI ILIYOLETA ZOGO LEO MBUNGENI KUTOKA HOTUBA YA UPINZANI:

Mheshimiwa Spika, kwa upande wa chama cha CUF, kutokana na itikadi zake za mrengo wa Kiliberali ambazo miongoni mwa misingi yake mikuu ni pamoja na

SERIKALI YAKILI KUWEPO KWA WATU WANAOTUMIA TEKNOHAMA KWA UCHOCHEZI.

Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu imekiri uwepo wa watu ama vikundi vya watu vinavyotumia fursa ya maendeleo ya teknohama kusambaza ujumbe ambao

BREAKING NEWS:BUNGE LASITISHWA KISA HOTUBA YA MH;WENJE.

Katika hali isiyo ya kawaida leo hii mapema Bungeni Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani imesitishwa baada ya hotuba hiyo kuwataja chama cha CUF kwamba

TAHADHARI UGONJWA WA NIMONIA.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII


TAARIFA KWA UMMA.

TAHADHARI YA UGONJWA WA NIMONIA INAYOTOKANA NA CORONA VIRUS

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) mnamo tarehe 22 Mei 2013, kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Nimonia unaosababishwa na kirusi cha “Novel Coronavirus”.Taarifa hiyo inaeleza kuwa,tangu ugonjwa huo utokee mwishoni wa mwaka 2012 hadi tarehe 23 Mei 2013  idadi ya wagonjwa wapatao 44 na vifo 22 viliripotiwa

Shirika la Afya Duniani limethibitisha ugonjwa huu kuwepo katika nchi za

SIKILIZA NA KUDOWNLOAD OPEN_LETTER_PROD_MSWAKI.AKIRAP KA NGWEA.

Bofya hapa kupata hiyo nyimbo.

VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO:30 MEI 2013


Wednesday, May 29, 2013

KENYATA APINGA VIKALI ONGEZEKO LA MISHAHARA KWA WABUNGE.

Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa kauli kali kupinga hatua ya wabunge wa Kenya

VIDEO YA MUHADHIRI ALIYEFUMANIWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI.

PICHA ZA MATUKIO KILICHOTOKEA LEADERS CLUB WASNII WAKIPOKUTANA.


Leo hii wasanii mbalimbali wamekutana katika viwanja vya Leaders club kupanga mambo mbalimbali juu ya msiba wa mwenzao Albert Mangwea Kupitia Umoja wa wao, Wasanii hao wameweza kuunda kamati ambayo inaongozwa na Mwenyekiti ambaye ni

VIDEO:HUYU NDIE ALIYESHUHUDIA KIFO CHA NGWEA.

M TO THE P HAJAFA ILA YUKO MAHUTUTI.

Kutoka kwa millard Ayo aliye huko Afrika Kusini ni kwamba Sio kweli kwamba msanii M2theP kafariki, ni mzima ila anapumulia mashine, kafungua macho na kunyanyua miguu dakika chache zilizopita.

UHAKIKA WA KILICHOMUUA NI KUJIOVERDOSE HEROIN NA CRACK. SOMA RIPOTI YA DAKTARI HAPA.

Kutokana na habari mbalimbali kwa vyombo mbalimbali kuhusu kifo cha msanii Albert Mangwea sasa mambo yamewekwa wazi na ripoti ya dactari na kusema kwamba

ALICHOKISEMA JANUARY MAKAMBA KUHUSU HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA NIPASHE.

Gazeti la leo la Nipashe, katika ukurasa wa mbele, lina picha yangu na kichwa cha habari kinachosema

VIDEO:MWANAUME AKAMATWA HUKO LIMURU KENYA AKIMLAWITI MBWA

Mubaah Katela: TAZAMA VIDEO YA UKWELI NI NOAH PV ft MAKAMUA & RAS...

Mubaah Katela: TAZAMA VIDEO YA UKWELI NI NOAH PV ft MAKAMUA & RAS...

BREAKING NEWS:M 2 THE P ALIYEKUWA NA NGWEA NAE AMEFARIKI DUNIA.

Taarifa kutoka kwenye vyanzo mbalimbali vya habari zinzsema kwamba msanii M TO THE P aliyekuwa

MANGWEA KUZIKWA MOROGORO ALIPOZIKWA BABA YAKE.

LADY JAYDEE, IZZO B,MWANA FA WAAHIRISHA SHOO ZAO KUMUENZI MANGWEA.

Baadhi ya wasanii wa bongo fleva nchini wameahirisha shoo zao kulingana na kile kinachotajwa na wao kwamba

SITAKI KUSIKIA NYIMBO YA NGWEA IKIPIGWA REDIONI.KAULI YA P.FUNK

Huu ni ujumbe uliotumwa na Producer maarufu  anaejulikana kama Producer Majani