Serikali ya Tanzania imesema haitaomba radhi kwa serikali ya Rwanda kutokana na kauli ya Raisi Kikwetwe alipoishauri Rwanda
Sunday, June 2, 2013
Saturday, June 1, 2013
POROJO ZA SABABU YA KIFO CHA NGWEA ZAZIDI KUCHANGANYA SOMA HAPO CHINI.
KIFO cha msanii wa Hip Hop Bongo, Albert Kenneth Mangwea a.k.a Ngwea kilichotokea Jumanne wiki hii jijini Johannesburg, Afrika Kusini ‘Sauzi’, kinaendelea kuibua mapya ambapo sasa sumu imetajwa kuhusika.
Akizungumza na paparazi wetu juzi kwa njia ya simu moja kwa moja kutokea nchini humo, Mtanzania mmoja (jina tunalo) alisema muda huo yeye alikuwa nje ya Hospitali ya St. Helen Joseph ambako mwili wa marehemu ulikuwa umehifadhiwa kwenye Mochwari ya Hillbrow.
Mbongo huyo alisema alifanikiwa kuutazama mwili wa marehemu Ngwea ambapo ulionesha kuwa
NYIMBO NIJULISHE YA MSANII FARY D (UDOM) INAKUJIA HIVI KARIBUNI.
Msanii anayeitwa Fary D kutoka (UDOM) anatarajia kutoa nyimbo yake inayoenda kwa jina la Nijulishe.Msanii huyo anaekuja kwa kasi amewaambia mashabiki wake wakae mkao wa kula kuweza kupokea ujio wa msanii huyo anaekuja kwa kasi sana.
VIDEO:KITUO CHA TELEVISHENI CHAONESHA NGONO WAKATI WA TAARIFA YA HABARI
Katika hali isiyo ya kawaida kituo kimoja cha televisheni nchini Ubeligiji kimejikuta kikishitakiwa.Kituo hicho kimejikuta kikishitakiwa baada ya kuonyesha video ya ngono nyuma ya msomaji wa habari.
ZANA ZA HIZBOLLAH ZAPATIKANA NIGERIA.
Karakana ya silaha inayoaminika kumilikiwa na kundi la Hezbollah, nchini Lebanon imapatikana Kaskazini mwa Nigeria.
Kwa mujibu wa taarifa za jeshi na shirika la ujasusi la Nigeria
FUNUNU RASIMU YA KATIBA YAWEZA KUTOKA JUMATATU
Kutokana na fununu mbalimbali siku ya Juma tatu tunaweza kupata Rasimu mpya ya Katiba. Katiba amabayo ndo inapaswa kukidhu kiu ya Watanzania.Hizi ni tweet za muheshimiwa Zitto
Friday, May 31, 2013
CCM NA MBINU ZA KUHUJUMU UBUNGE WA LISSU
Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, amekaliwa “kooni’ tena,
kufuatia hatua ya
SHEREHE ZINAZOFANYWA NA MADADA VYUO VIKUU ZA JINSIA MOJA.
Kutokana na kile kinachoendelea duniani ni pamoja na wimbi la kuongezeka mapenzi ya jinsia.Huko nchini
SIKILIZA WABUNGE WA CUF NA CHADEMA WAKIOMBANA RADHI LEO BUNGENI
KUTOKANA NA FUJO ZILIZOTOKEA JANA LEO HII WABUNGE WAOMBANA RADHI WOTE WA CUF NA CHADEMA.ZISIKILIZE SAUTI ZAO HAPO CHINI.
I'm listening to taarifa ya habari ya tbc=== @Hulkshare:
WANAFUNZI MZUMBE WAFUKUZWA WAPEWA SIKU MBILI WAONDOKE:
Wananfunzi wakidato cha kwanza hadi cha sita katika shule ya sekondari Mzumbe Morogoro wamelazimika
NECTA YATANGAZA MATOKEO KIDATO CHA SITA.
Serikali kwa mda mfupi uliopita imetangaza matokeo ya kidato cha sita,ambapo asilimia kubwa ya waliofanya mtihani wamefaulu kupata matokeo hayo tembelea www.necta.go.tz
Thursday, May 30, 2013
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MAPYA YATOKA:
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa matokeo ya kidato cha NNE yametoka kupata matokeo tembelea http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/olevel.htm
TAARIFA YA KUTEKWA KWA MWANDISHI ABSALOM KIBANDA NDIO HII.
- TAARIFA YA UCHUGUZI JUU YA KUTEKWA NA KUUMIZWA KWA ABSALOM KIBANDA IMEWASILISHWA NYUMBANI HOTEL - TANGA MEI 30, 2013
- UTANGULIZI:Usiku wa Jumanne ya Machi 5 kuamkia Machi 6, 2013, Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, ambaye pia
HII NDIO KAULI ILIYOLETA ZOGO LEO MBUNGENI KUTOKA HOTUBA YA UPINZANI:
Mheshimiwa Spika, kwa upande wa chama cha CUF, kutokana na itikadi zake za mrengo wa Kiliberali ambazo miongoni mwa misingi yake mikuu ni pamoja na
SERIKALI YAKILI KUWEPO KWA WATU WANAOTUMIA TEKNOHAMA KWA UCHOCHEZI.
Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu imekiri uwepo wa watu ama vikundi vya watu vinavyotumia fursa ya maendeleo ya teknohama kusambaza ujumbe ambao
BREAKING NEWS:BUNGE LASITISHWA KISA HOTUBA YA MH;WENJE.
Katika hali isiyo ya kawaida leo hii mapema Bungeni Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani imesitishwa baada ya hotuba hiyo kuwataja chama cha CUF kwamba
TAHADHARI UGONJWA WA NIMONIA.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
TAARIFA KWA UMMA.
TAHADHARI YA UGONJWA WA NIMONIA INAYOTOKANA NA CORONA VIRUS
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) mnamo tarehe 22 Mei 2013, kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Nimonia unaosababishwa na kirusi cha “Novel Coronavirus”.Taarifa hiyo inaeleza kuwa,tangu ugonjwa huo utokee mwishoni wa mwaka 2012 hadi tarehe 23 Mei 2013 idadi ya wagonjwa wapatao 44 na vifo 22 viliripotiwa
Shirika la Afya Duniani limethibitisha ugonjwa huu kuwepo katika nchi za
Wednesday, May 29, 2013
PICHA ZA MATUKIO KILICHOTOKEA LEADERS CLUB WASNII WAKIPOKUTANA.
Leo hii wasanii mbalimbali wamekutana katika viwanja vya Leaders club kupanga mambo mbalimbali juu ya msiba wa mwenzao Albert Mangwea Kupitia Umoja wa wao, Wasanii hao wameweza kuunda kamati ambayo inaongozwa na Mwenyekiti ambaye ni
M TO THE P HAJAFA ILA YUKO MAHUTUTI.
Kutoka kwa millard Ayo aliye huko Afrika Kusini ni kwamba Sio kweli kwamba msanii M2theP kafariki, ni mzima ila anapumulia mashine, kafungua macho na kunyanyua miguu dakika chache zilizopita.
UHAKIKA WA KILICHOMUUA NI KUJIOVERDOSE HEROIN NA CRACK. SOMA RIPOTI YA DAKTARI HAPA.
Kutokana na habari mbalimbali kwa vyombo mbalimbali kuhusu kifo cha msanii Albert Mangwea sasa mambo yamewekwa wazi na ripoti ya dactari na kusema kwamba
ALICHOKISEMA JANUARY MAKAMBA KUHUSU HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA NIPASHE.
Gazeti la leo la Nipashe, katika ukurasa wa mbele, lina picha yangu na kichwa cha habari kinachosema
LADY JAYDEE, IZZO B,MWANA FA WAAHIRISHA SHOO ZAO KUMUENZI MANGWEA.
Baadhi ya wasanii wa bongo fleva nchini wameahirisha shoo zao kulingana na kile kinachotajwa na wao kwamba
Tuesday, May 28, 2013
BREAKING NEWS:MWANAMUZIKI WA KIZAZI KIPYA ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA:
Rapper maarufu nchini a.k.a kaObama Albert Mangwea amefariki dunia leo hii Huko Afrika ya Kusini katika hospitali ya st Hellen.Sababu za kifo bado hazijajulikana kwa habari zaidi endelea kutembelea blog yetu.
VIMWANA WA MISS REDD'S TANGA NDIO HAWA HAPA.
Warembo wa miss REDDS mkoa wa Tanga 2013 wakiwa katika picha ya pamoja
kwenye mazoezi ya shindano hilo lnalotegemea kuanza juni 22.
kwenye mazoezi ya shindano hilo lnalotegemea kuanza juni 22.
Monday, May 27, 2013
JIDE MPAKA JUNE 13: LWAKATARE NGOMA NZITO BADO
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph wamekwama tena leo Jumatatu, Mei 27 kupata dhamana baada ya Hakimu Mkazi katika Mahakama ya Kisutu, Sundi Fimbo kueleza kuwa Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Aloyce Katemana, bado yupo likizo tangu wiki tatu zilizopita.
Watuhumiwa wanakabiliwa na shitaka la kupanga njama za kumnywesha sumu Mhariri wa Gazeti la Mwananchi, Dennis Msacky
Sunday, May 26, 2013
Saturday, May 25, 2013
NKURUNZINZA KUJA TANZANIA.KUFANYA NINI SOMA HAPA.
Kutokana na mkutanao mkubwa wa injili ulioandaliwa na mabaraza ya kanisa ya kipentekoste Raisi wa Burundi
HUYU NDO MREMBO ATAKAEWAKILISHA TANZANIA BIG BROTHER.
Kutokana na taarifa mbalimbali kutoka duru mbalimbali za habari huyu ndo mrembo anateitwa Feza Kessy
Friday, May 24, 2013
JE UNAJUA USHAURI ULIOTOLEWA HAPO MWANZO KUHUSU GESI YA MTWARA NA SERIKALI WAMEKOSEA WAPI?
Chukua mda wako wa dakika au masaa kadhaa kuweza kupitia document hiyo hapo ili ujue serikali ilishauliwa nini kuhusu gesi na mtaalamu wa masuala hayo.
WARIORUSHA BOMU ARUSHA WAACHIWA.
Kwa habari zilizopo ni kwamba jeshi la polisi Mkoani Arusha limewaachia watuhumiwa wanaosadikika kururusha bomu
Subscribe to:
Posts (Atom)








































