Saturday, June 15, 2013
MREMA ATANGAZA KUMUUNGA MKONO LOWASSA 2015
Mwenyekiti wa TLP Agustino Lyatonga Mrema amesema kwamba hana mpango wa kugombea Urais 2015 kwani hana
Friday, June 14, 2013
SHOW YA LADY JAYDEE NOMA HEBU CHEKI PICHA ZA MATUKIO.
Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki.
Hii imedhihirisha kuwa majina anayojiita mwanadada huyu ni ya halali kabisa na yanamfaa kwani tafauti na watu walivyodhan palijaa watu hadi wakaanza kubebana ama kwa hakika huyu ni komando,anaconda hebu anagalia picha mdau utakubaliana na mimi
Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo ambapo jana lilikuwepo bonge moja la show la Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii wanamuziki mbali mbali wamepanda jukwaani akiwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.WATOTO 93,000 WAMEUAWA SYRIA
Umoja wa Mataifa umesema takriban watoto elfu tisini na tatu wameuawa nchini Syria tangu kuanza kwa mapigano nchini humo.
Kwa mujibu wa takwimu hizo, idadi hiyo imeongezeka kwa zaidi ya
RAIA WA ZIMBABWE WANAPOKONYWA REDIO:JE UNAJUA CHANZO SOMA HAPA UPATE KUJUA.
Redio kuu kuu zinazotumia kawi ya jua, huenda ni wazo zuri kuwasaidia raia wa Zimbabwe ambao wamekwama katika limbi la umaskini kupiga gumzo nyakati za jioni kabla ya usiku kuingia.
Lakini
KILICHOMUUA LANGA CHATAJWA
Baba mzazi we Langa, Mangisemi Kileo ameeleza chanzo cha kifo cha mwanaye ambaye kimetokea jana katika Hospitali ya Muhimbili.
Langa amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili baada ya
Thursday, June 13, 2013
ABDULRAHMAN KINANA AFUNGUA KESI DHIDI YA PETER MSIGWA.
Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi(CCM) Abdulrahmani Kinana amemfungulia kesi Mbunge wa Iringa Mchungaji PETER MSIGWA kwa kile kinachodaiwa kwamba alitoa kauli nje na ndani ya Bunge kuwa
ATEMBEA UCHI MTAANI:
KIJANA BAADA YA MADAWA KUMZIDIA AAMUA KUTEMBEA UCHI MTAANI.KAMA UNATAKA KUONA VIDEO YA KIJANA HUYO BOFYA HAPO CHINI.
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid823619053?bctid=2472340553001
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid823619053?bctid=2472340553001
HIII NDIO BAJETI YA TANZANIA MWAKA 2013/14 KWA UFUPI
Waziri apendekeza Kuanzisha kodi ya zuio ya asilimia 10 ya kamisheni (commission) ya usafirishaji wa fedha kwa njia ya simu za mkononi. Kodi hiyo itakusanywa na kampuni za simu kutoka kwa wakala wanaotoa huduma za kusafirisha fedha kupitia simu za mkononi- Waziri apendekeza Kuongeza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwenye magari yasiyo ya uzalishaji (Non-Utility Motor Vehicles) ya umri wa zaidi ya miaka 10 kutoka asilimia 20 hadi asilimia 25. Hatua hii inalenga katika kupunguza uagizaji wa magari chakavu, kulinda mazingira na kupunguza ajali
KWA KIFUPI
- Katika kipindi cha Julai hadi Aprili 2013, Serikali ilikopa shilingi bilioni
BREAKING NEWS:MSANII LANGA KILEO A.K.A LANGA AFARIKI DUNIA
MSANII AITWAE LANGA KILEO A.K.A LANGA AMEFARIKI DUNIA MDA MCHACHE ULIOPITA LANGA AMEFIKISHWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LEO ASUBUHI AKIWA ANAUMWA MALARIA KALI.HABARI KAMILI TUTAKUTAARIFU.
UJUMBE NA KISA CHA MTANZANIA ALIYEFUNGWA ANGOLA.
Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda
CHEZEA NGUVU YA UMMA WEWE?WABUNGE KENYA WASALIMU AMRI
Wabunge wa Kenya wamesalimu amri ya madai yao ya kuongezewa mshahara waliyokuwa wameshayapigia kura na kujiwekea posho kubwa zikiwemo gari za kifahari na mafao ya kustaafu, liliripoti shirika la habari la AFP siku ya Jumatano (tarehe 12 Juni).
Mwezi uliopita, wabunge wa Kenya walijipigia kura
HUYU MTENGENEZA MAJENEZA NI NOMA:
Mtu mmoja anayejikimu kwa kutengeneza majeneza ameonesha kipaji cha ajabu sana hebu bofya hapo chini uweze kuona videp yake ni DAKIKA MBILI tu.
MAANDAMANO KENYA YAZIDI KUPINGA WABUNGE KUJIONGEZEA MISHAHARA:
Mashirika yasiyo ya kiserikali yamefanya maandamano mwengine mjini Nirobi Kenya kupinga jaribio la wabunge
Wednesday, June 12, 2013
POLISI KENYA MATATANI KWA MIHADARATI
Mamlaka ya Kitaifa ya kupambana na mihadarati nchini Kenya (NACADA), jamii ya Waislamu, na wakuu wa mashirika ya kijamii nchini humo wameituhumu polisi kuwa
KUTOKA BUKOBA MWANAMKE APOTEZA NYETI ZAKE:
Mwanamke huyu akiwa hajielewi kabisa kwa kile kilichomtokea baada ya kula uroda na mme wa mtu katika nyumba ya kulala wageni ya SUPER STAR iliyoko Hamgembe mjini Bukoba.Mwanamke huyo alitoweka na pesa za Mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma.Baada ya muda mama huyu
AUDIO.NYIMBO MPYA KUTOKA KWA LADY JAYDEE(YAHAYA)
Pata kusikiliza nyimbo mpya ya Mwanadada Lady Jaydee inayoitwa Yahaya.bofya link hiyo hapo chini.....
I'm listening to Lady JayDEE - Yahaya @Hulkshare:
I'm listening to Lady JayDEE - Yahaya @Hulkshare:
AFYA YA NELSON MANDELA YAIMARIKA.
Hali ya Afya ya aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, inaendelea kuimarika.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema kuwa amefahamishwa na madaktari wanaomtibu kuwa, hali ya Mzee Mandela
DOGO JANJA AKAMATWA NA KUWEKWA LOCKUP KISA BANGI.
Jana jioni msanii wa
kizazi kipya abdul aziz Chende "Dogo janja" kukamatwa na bangi na
Askari polisi na kufikishwa kituo cha polisi Ngarenaro hapa jijini ,katika
kujitetea kituoni hapo alidai kuwa
CCM YAPINGA SERIKALI TATU KATIKA RASIMU YA KATIBA
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita. Chama hicho
Tuesday, June 11, 2013
MAONI YA CCM KATIKA RASIMU YA KATIBA.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari juu ya rasimu ya kwanza ya mchakato wa katiba mpya.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe 10/06/2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe 10/06/2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM
KAMATI YA MARIDHIANO YA ZANZIBAR YASHTUSHWA NA DK.SHEIN.
Hali visiwani Zanzibar inaonekana si shwari kwenye serikali yenye muundo wa umoja wa kitaifa, baada ya Rais Ali Mohamed Shein kusema
ALIYEFICHUA SIRI ZA (CIA) MASHAKANI SOMA STORY NZIMA HAPA:
Mwanamume aliyefichua habari za ujasusi za Marekani, akiwa Hong Kong, sasa ametoweka hotelini mwake. Edward Snowden aliambia waandishi wa habari kuwa
LWAKATARE APEWA DHAMANA.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura, lhivi punde wamepata dhamana na endapo
Monday, June 10, 2013
Sunday, June 9, 2013
TUNDU LISSU ACHOMA MOTO KADI ZA CCM.
Ni baada ya Mbunge huyo kutoa hotuba yenye maneno mazito ndipo wananchi waliokuwa pale walizikusanya
WABUNGE WASUBIRI KWA HAMU BAJETI KUU
Mkutano wa 11 wa Bunge la Muungano unaendelea leo baada ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki, huku wabunge na wananchi wakisubiri Bajeti ya Serikali.
Baada ya wizara 32 kumaliza kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2013/14, kinachosubiriwa sasa ni
IMAMU WA MSIKITI ACHEZEA KICHAPO STORY NZIMA YA KISA SOMA HAPA.
IMAMU wa msikiti wa Maziwa Ngo’mbeKisiwani Pemba, Omar Hussen Said (42) amepigwa na kujeruhiwa jicho baada ya kutokea vurugu ndani ya msikiti wakati wa ibada ya Ijumaa Juni 7 mwaka, imefahamika jana.
27 WAUAWA:UNAJUA NI WAPI HUKO SOMA HAPA.
Maafisa wa hospitali mjini Benghazi nchini Libya wanasema kiasi ya watu ishirini na saba wameuawa huku wengine hamsini
Saturday, June 8, 2013
FIRST ELEVEN YA LEO NDO HII: TAIFA STARS VS MOROCCO
JUMA KASEJA,ERASTO NYONI,SHOMARI KAPOMBE,YONDANI,HERY MORIS,FRANK DUMAYO,MRISHO NGASSA,SALUM ABUBAKARI,THOMAS ULIMWENGU.AMRI KIEMBA,SAMATTA MBWANA.
ALL THE BEST TAIFA STARS
NYIMBO MPYA KUTOKA KWA FARRY D FT NOAH PV
Ili nyimbo mpya iliyosubiliwa kwa hamu sasa imetoka siku ya leo na iko tayari unaweza kuidownload hapo chini
I'm listening to Noah& Fary D. NIJULISHE @Hulkshare:
I'm listening to Noah& Fary D. NIJULISHE @Hulkshare:
KONA YA SHERIA LEO NI Shaaban Itandu Selema Vs Tundu Antipasi Lissu.
Bofya link hiyo hapo chini kupata hukumu ya kesi nzima
ShaabaniItanduSelemaVSTunduAntipasMughwayiLissu%20No.37%20OF%202010.HTM
ShaabaniItanduSelemaVSTunduAntipasMughwayiLissu%20No.37%20OF%202010.HTM
TAPELI AKAMATWA:AMETAPELI MISIKITI NA MAKANISA:
Kijana William ambaye anadaiwa kufanya kazi ya utapeli katika majengo ya ibada anapokuwa misikitini hutumia jina
RUSHWA YA NGONO YATAJWA UDOM
Suala la uwepo wa rushwa ya ngono kwenye Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) limetinga bungeni Lilijitokeza jana wakati Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Murtaza Mangungu (CCM)
Subscribe to:
Posts (Atom)


























.jpg)






















