Find us on facebook

Pages

Follow Me.

Sunday, June 16, 2013

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 17 2013.


HABARI NZIMA JUU YA UTEKWAJI WA NASSARI HII HAPA

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari ameshambuliwa na vijana wa Chama cha

KUTANA PICHA WANAZOPIGA WANADA NA KUSAHAU MAADILI YA KIAFRIKA NA TANZANIA KWA UJUMLA

Kutokana na kile kinachosemaekana kwamba wanadamu wamekosa staha na adabu katika maisha yao na kufika hatua ya kusahau kabisa uwepo wa mungu sasa wameanza kuanika maungo yao waazi kabisa na kutuma picha zao katika mtandao.Hebu kwa mda wako tazama picha hizo hapo chini na utamke maneno yako kwa kuacha comment hapo chini.

JOSHUA NASSARI ATEMBEZEWA KICHAPO.

Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari muda huu amepigwa na kujeruhiwa vibaya damu

Saturday, June 15, 2013

SABABU TANO JUU YA KWA NINI WANAWAKE HUPENDA KUWA NA MAHUSIANO NA WANAUME WALIO OA TIYARI.

Ni ukweli usiopingika kwamba wanawake wamekuwa katika uhusiano na wnaume amabao tiyari wameshaoa.Kila mtu yaweza kuwa nasababu zake juu ya kwa nini anaingia katika mahusiano ya namna hiyo.Ni ukweli usiopingika kwamba hapo chini ni sababu za kwa nini,Wanawake huingia katika mahusiano na wanaume amabao tiyari wameshaoa.

MAANDALIZI YA KIUSALAMA ZIARA YA OBAMA TANZANIA NA AFRIKA KWA UJUMLA

Washington- Rais Obama atapokwenda Afrika Kusini mwa Sahara mwezi huu, taasisi zenye jukumu la usalama wake hazifanyi lelemama.
Mamia wa mashushushu wa Kikosi cha Ulinzi wa Rais wa Marekani (US Secret Service) watasambazwa katika maeneo ya usalama huko

KUTOKANA NA MLIPUKO WA BOMU ARUSHA JANA UCHAGUZI WA HAIRISHWA.

Kufuatia tukio la mlipuko jana Jumamosi jijini Arusha, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha chaguzi za madiwani katika kata zote nne (4) za TEMI,KIMANDORU,ELERAI na KALORENI jijini Arusha hadi Jumapili ya tar 30/6/2013.
Sheria inawapa mamlaka NEC kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa

PICHA ZA MATUKIO MLIPUKO WA BOMU ARUSHA LEO HII:SAMHANI KWA PICHA HIZI.

 Watu wawili wanahofiwa kupoteza maisha na wengine

MREMA ATANGAZA KUMUUNGA MKONO LOWASSA 2015

Mwenyekiti wa TLP Agustino Lyatonga Mrema amesema kwamba hana mpango wa kugombea Urais 2015 kwani hana

MAGAZETI YA LEO JUNI 15 2013




SHOO YA MWANA FA YADODA WATU KIDUCHU.

 Wahudhuriaji wa "The Finest" Kama Zamani wakiwa wanaenjoy burudani classic kutoka kwa Mwana FA.

Friday, June 14, 2013

SHOW YA LADY JAYDEE NOMA HEBU CHEKI PICHA ZA MATUKIO.


Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki. 
Hii imedhihirisha kuwa majina anayojiita mwanadada huyu ni ya halali kabisa na yanamfaa kwani tafauti na watu walivyodhan palijaa watu hadi wakaanza kubebana ama kwa hakika huyu ni komando,anaconda hebu anagalia picha mdau utakubaliana na mimi
 Hivi ndivyo hali ilivyo ndani ya Ukumbi huu wa Nyumbani Lounge,Namanga jijini Dar es Salaam ambapo ambapo jana lilikuwepo bonge moja la show la Mwanadada mkongwe kwenye tasnia ya muziki hapa nchini,Lady Jay Dee ambaye anatimiza miaka 13 tangu alipoanza kazi yake ya muziki.katika show hii wanamuziki mbali mbali wamepanda jukwaani akiwepo Mh. Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu.

WATOTO 93,000 WAMEUAWA SYRIA

Umoja wa Mataifa umesema takriban watoto elfu tisini na tatu wameuawa nchini Syria tangu kuanza kwa mapigano nchini humo.
Kwa mujibu wa takwimu hizo, idadi hiyo imeongezeka kwa zaidi ya

RAIA WA ZIMBABWE WANAPOKONYWA REDIO:JE UNAJUA CHANZO SOMA HAPA UPATE KUJUA.

Redio kuu kuu zinazotumia kawi ya jua, huenda ni wazo zuri kuwasaidia raia wa Zimbabwe ambao wamekwama katika limbi la umaskini kupiga gumzo nyakati za jioni kabla ya usiku kuingia.
Lakini

KILICHOMUUA LANGA CHATAJWA

Baba mzazi we Langa, Mangisemi Kileo ameeleza chanzo cha kifo cha mwanaye ambaye kimetokea jana katika Hospitali ya Muhimbili.
Langa amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili baada ya

Thursday, June 13, 2013

ABDULRAHMAN KINANA AFUNGUA KESI DHIDI YA PETER MSIGWA.

Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi(CCM) Abdulrahmani Kinana amemfungulia kesi Mbunge wa Iringa Mchungaji PETER MSIGWA kwa kile kinachodaiwa kwamba alitoa kauli nje na ndani ya Bunge kuwa

ATEMBEA UCHI MTAANI:

KIJANA BAADA YA MADAWA KUMZIDIA AAMUA KUTEMBEA UCHI MTAANI.KAMA UNATAKA KUONA VIDEO YA KIJANA HUYO BOFYA HAPO CHINI.
http://link.brightcove.com/services/player/bcpid823619053?bctid=2472340553001

PITIA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 14 2013


WANAFUNZI WAENDELEZA KUPIGA PICHA CHAFU HEBU CHEKI HAPA.


HII IMETOKEA HUKO MKOANI MTWARA WANAFUNZI WAKIWA KWENYA PARTY.Jamani wakati mwingine

HIII NDIO BAJETI YA TANZANIA MWAKA 2013/14 KWA UFUPI

 Waziri apendekeza Kuanzisha kodi ya zuio ya asilimia 10 ya kamisheni (commission) ya usafirishaji wa fedha kwa njia ya simu za mkononi. Kodi hiyo itakusanywa na kampuni za simu kutoka kwa wakala wanaotoa huduma za kusafirisha fedha kupitia simu za mkononi- Waziri apendekeza Kuongeza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwenye magari yasiyo ya uzalishaji (Non-Utility Motor Vehicles) ya umri wa zaidi ya miaka 10 kutoka asilimia 20 hadi asilimia 25. Hatua hii inalenga katika kupunguza uagizaji wa magari chakavu, kulinda mazingira na kupunguza ajali

KWA KIFUPI
- Katika kipindi cha Julai hadi Aprili 2013, Serikali ilikopa shilingi bilioni

BREAKING NEWS:MSANII LANGA KILEO A.K.A LANGA AFARIKI DUNIA

MSANII AITWAE LANGA KILEO A.K.A LANGA AMEFARIKI DUNIA MDA MCHACHE ULIOPITA LANGA AMEFIKISHWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LEO ASUBUHI AKIWA ANAUMWA MALARIA KALI.HABARI KAMILI TUTAKUTAARIFU.

UJUMBE NA KISA CHA MTANZANIA ALIYEFUNGWA ANGOLA.

Baadhi ya ndugu na marafiki wa Mtanzania aliehukumiwa kifungo cha miaka nane nchini Angola baada ya kupatikana na dawa za kulevya alizokua akizisafirisha kwenda

ZITTO ATOA KAULI NZITO.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe amesema

CHEZEA NGUVU YA UMMA WEWE?WABUNGE KENYA WASALIMU AMRI


Wabunge wa Kenya wamesalimu amri ya madai yao ya kuongezewa mshahara waliyokuwa wameshayapigia kura  na kujiwekea  posho kubwa zikiwemo gari za kifahari na mafao ya kustaafu, liliripoti shirika la habari la AFP siku ya Jumatano (tarehe 12 Juni).

Mwezi uliopita, wabunge wa Kenya walijipigia kura

HUYU MTENGENEZA MAJENEZA NI NOMA:


Mtu mmoja anayejikimu kwa kutengeneza majeneza ameonesha kipaji cha ajabu sana  hebu bofya hapo chini uweze kuona videp yake ni DAKIKA MBILI tu.

MAANDAMANO KENYA YAZIDI KUPINGA WABUNGE KUJIONGEZEA MISHAHARA:

Mashirika yasiyo ya kiserikali yamefanya maandamano mwengine mjini Nirobi Kenya kupinga jaribio la wabunge

WASHIKAJI(MASHOGA) WABAMBWA WAKIBAJUANA WAPI HUKO SOMA HAPA:

Tukio hilo lililoshuhudiwa na watu kibao, lilijiri Juni

MAGAZETI YA LEO JUNI 13 2013


Wednesday, June 12, 2013

POLISI KENYA MATATANI KWA MIHADARATI

Mamlaka ya Kitaifa ya kupambana na mihadarati nchini Kenya (NACADA), jamii ya Waislamu, na wakuu wa mashirika ya kijamii nchini humo wameituhumu polisi kuwa

KUTOKA BUKOBA MWANAMKE APOTEZA NYETI ZAKE:

Mwanamke huyu akiwa hajielewi kabisa kwa kile kilichomtokea baada ya kula uroda na mme wa mtu katika nyumba ya kulala wageni ya SUPER STAR iliyoko Hamgembe mjini Bukoba.Mwanamke huyo alitoweka na pesa za Mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma.Baada ya muda mama huyu

AUDIO.NYIMBO MPYA KUTOKA KWA LADY JAYDEE(YAHAYA)

Pata kusikiliza nyimbo mpya ya Mwanadada Lady Jaydee inayoitwa Yahaya.bofya link hiyo hapo chini.....
                                      I'm listening to Lady JayDEE - Yahaya @Hulkshare:

AFYA YA NELSON MANDELA YAIMARIKA.

Hali ya Afya ya aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, inaendelea kuimarika.
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, amesema kuwa amefahamishwa na madaktari wanaomtibu kuwa, hali ya Mzee Mandela

DOGO JANJA AKAMATWA NA KUWEKWA LOCKUP KISA BANGI.

Jana jioni msanii wa kizazi kipya abdul aziz Chende "Dogo janja" kukamatwa na bangi na Askari polisi na kufikishwa kituo cha polisi Ngarenaro hapa jijini ,katika kujitetea kituoni hapo alidai kuwa

CCM YAPINGA SERIKALI TATU KATIKA RASIMU YA KATIBA

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni mwa wiki iliyopita. Chama hicho

Tuesday, June 11, 2013

MAONI YA CCM KATIKA RASIMU YA KATIBA.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye  akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari juu ya rasimu ya kwanza ya mchakato wa katiba mpya.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imekutana jana tarehe 10/06/2013 chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa wa CCM

HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 12 2013


VIDEO:KAMATI KUU YA CCM IMEKUTANA LEO MJINI DODOMA

KAMATI YA MARIDHIANO YA ZANZIBAR YASHTUSHWA NA DK.SHEIN.

Hali visiwani Zanzibar inaonekana si shwari kwenye serikali yenye muundo wa umoja wa kitaifa, baada ya Rais Ali Mohamed Shein kusema

ALIYEFICHUA SIRI ZA (CIA) MASHAKANI SOMA STORY NZIMA HAPA:

Mwanamume aliyefichua habari za ujasusi za Marekani, akiwa Hong Kong, sasa ametoweka hotelini mwake. Edward Snowden aliambia waandishi wa habari kuwa

LWAKATARE APEWA DHAMANA.


Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na mwenzake Joseph Ludovick Rwezaura, lhivi punde wamepata dhamana na endapo

Sunday, June 9, 2013

TUNDU LISSU ACHOMA MOTO KADI ZA CCM.

Ni baada ya Mbunge huyo kutoa hotuba yenye maneno mazito ndipo wananchi waliokuwa pale walizikusanya

CHADEMA WAUNGA MKONO SERIKALI TATU:

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema chama chake

WABUNGE WASUBIRI KWA HAMU BAJETI KUU



Mkutano wa 11 wa Bunge la Muungano unaendelea leo baada ya mapumziko ya mwishoni mwa wiki, huku wabunge na wananchi wakisubiri Bajeti ya Serikali.
Baada ya wizara 32 kumaliza kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2013/14, kinachosubiriwa sasa ni

IMAMU WA MSIKITI ACHEZEA KICHAPO STORY NZIMA YA KISA SOMA HAPA.

IMAMU wa msikiti wa Maziwa Ngo’mbeKisiwani Pemba, Omar Hussen Said (42) amepigwa na kujeruhiwa jicho baada ya kutokea vurugu ndani ya msikiti wakati wa ibada ya Ijumaa Juni 7 mwaka, imefahamika jana.

MHADHIRI CHUO KIKUU ATEMBEZWA UCHI.KISA NINI SOMA HAPA.

Mhadhiri wa chuo kikuu cha

PITIA MAGAZETI YA LEO JUNI 10 2013


JIDE AMUITA MWANA FA MWANA FATUMA HUKU AKIMPA VIJEMBE VINGINE.

27 WAUAWA:UNAJUA NI WAPI HUKO SOMA HAPA.

Maafisa wa hospitali mjini Benghazi nchini Libya wanasema kiasi ya watu ishirini na saba wameuawa huku wengine hamsini

HAWA NDIO WASHINDI WA KILL MUSIC AWARD 2013


Usiku wa tuzo za KTMA ulipambwa na burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mbalimbali wakiwemo

MCHEKI HUYU KIJANA NA KIPAJI CHA AJABU.